Unachokitafuta hapa ni ubishani tu. Hizi mantiki zenu ndizo zinazosababisha CHADEMA kuonekana kama chama kilichokufa. Chama kinaendeshwa kwa ujanja ujanja tu, hakuna ilani inayofuatwa, mnadandia hoja za wengine, na hakuna malengo ya muda mrefu. Hata hivyo, bado mnajiona kama chama kikuu cha...
Unachokitafuta hapa ni ubishani tu. Hizi mantiki zenu ndizo zinazosababisha CHADEMA kuonekana kama chama kilichokufa. Chama kinaendeshwa kwa ujanja ujanja tu, hakuna ilani inayofuatwa, mnadandia hoja za wengine, na hakuna malengo ya muda mrefu. Hata hivyo, bado mnajiona kama chama kikuu cha...
Bado sana kwa upinzani kushika nchi, hawana nia ya dhati kuleta changes kwa Taifa, wapo kwa matumbo yao. Tunaweza chukua chadema kama mfano, je hakuna mbadala wa Freeman..? Vip wakipewa nchi wataweza kupokezana kijiti kama ilivyo kwa ccm..?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.