Ramani ya hovyo sanaa. Vyoo vitatu vyote ni public, na kimoja kuingia hadi utoke nje! Bora bedroom 2 zingekuwa na choo ndani, choo kilichobaki kiwe public. Jiko linalingana ukubwa na store yake? We uliskia wapi? Punguza ukubwa wa store, ongeza jiko. Halafu store ya jiko ina mlango wa kutokea...
Hutaki jua zinapoenda ama unakaza ubongo? Wakitaka range wao wanaomba sadaka, tukitaka sisi wanatuombea 😂.
Maelekezo ya kumpa Mungu kupitia chombo cha sadaka ni maandiko ama ubunifu wako mwenyewe?
Sadaka hupewa watu hawa: yatima, masikini, walioharibikiwa safarini, watu wako wa karibu (wazazi...
Tafuta hela ndo uache kuita watoto wa watu gold digger. Akiomba laki 5 si utamfungulia kesi kabisa? Usipomtunza tutakutunzia, kutunza na kukaza vinaenda pamoja . Elfu 30 ni ku dig gold ama kuchimba chumvi 😂😂?
Labda upo sahihi. Fikiria na upande wa pili; kabla hujazaliwa, hukuwepo (mfano wake ndo tuseme ulikua mfu), kisha ukazaliwa kupitia hatua za ajabu - mbegu za uzazi (mfano wake ndo kufufuka).
Mfano mwingine, usiku unalala, hujitambui (mfu), asubuhi unaamka (unafufuka).
Hapo vipi?
Dogo bado mchanga sana. Chukua hii shule;
Alipaswa aseme hivi:
"Nisamehe mume wangu, sikukusudia kukukosea."
Ukiangalia in 6 dimensions hayo maneno yake ya mwanzo ni kama kejeli, sio msamaha.. anasema "kama", so haamini kama kakukosea.
"Ukiwa na Mb nakuomba jifunze" ... Kwa hiyo dogo kuna muda...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.