Recent content by Pinetech Way

  1. Pinetech Way

    SoC01 Mvuta sigara Tanzania hutumia kiasi cha Tsh Milioni 16.9 hadi Tsh Milioni 42.3 kununua sigara kipindi chote cha maisha yake

    Msiharibu biashara za watu,serikali inachukua pesa nyingi kwenye viwanda vya sigara,Leo mnazugumza watu wanaokufa kwa uvutaji sigara he mmejiuliza Ni watu wangapi hufa kwa kutokutumia hiyo sigara?acheni watu wavute kwa maana zinatengenezwa ili zivutwe na binadamu,na sigara haivutwi na...
  2. Pinetech Way

    Tume Huru ya uchaguzi ni kwaajili ya wanasiasa ; Katiba mpya ni kwa ajili ya Wananchi na ustawi wa nchi Kwa jumla

    Maelezo Ni mazuri kwa Mimi mwananchi wa kawaida ninafikiri katiba ndio Dora nchi,maana huwezi kuamua Jambo lolote bila kupitia muongozo ambao ndio katiba.kinachotakiwa viongozi wa serikali ya ccm wakubaliane na takes la wananchi ambao walishiriki kutoa maoni yao,hivo Basi katiba itatuondolea...
  3. Pinetech Way

    Tetesi: Inadaiwa Wakili Peter Madeleka amekamatwa na Jeshi la Polisi akiwa Serena Hotel

    Tunahitaji huyu wakili wamwachilie huru,kwani wanamshikilia kwa Lisa gani Hadi aende kuhojiwa?
  4. Pinetech Way

    Wizara ya Madini imesema inafuatilia jiwe la bilioni 240 linalopigwa mnada Dubai, yasema ilipata taarifa mtandaoni

    Yote haya Ni kumshauri mama yenu kwa kumdanganya,ati ameupiga mwingi,hiyo makamba piga chini,abdalah kinana,na wengine wengi wanaosemwa kuwa kundi la msoga Bora uondoe sura hizo zinakudharirisha,kwa mie Ni mtu mdogo hamtanielewa Ila ujumbe umefika.
  5. Pinetech Way

    Wizara ya Madini imesema inafuatilia jiwe la bilioni 240 linalopigwa mnada Dubai, yasema ilipata taarifa mtandaoni

    Habari Kama hii nzito ikaandikwa mitandaoni Ni fedhea kwa nchi,hapo mmechengana nyie na mkataka msimpe mwenzenu mgao wa Hilo jiwe,kitu kimeshatoka mikononi mwako na Wala hukuona Wala kuhoji wakati jiwe Hilo linaondoka inaonyesha udhaifu wa usimamizi kwa Mali za kitanzania,jiwe liko sokoni na...
  6. Pinetech Way

    Imetosha Rais Samia, rudi Nyumbani sasa

    Hata yote yanasababishwa na wanaccm ambao hawataki kuambiwa ukweli,ukweli huwa unauma owe taasisi,mtubinafsi na makundi mengine,Sasa ili kuyaondoa haya Ni kuutoa mfumo uliopo Sasa na watanzania mjutie haya yanajitokeza kwenye tawala za ccm.
  7. Pinetech Way

    Bunge: Wafanyakazi hewa wamerudi, mamilioni yalipwa

    Muanze na bunge ndo tutaelewana,msitafute kuku wanaokula pumba za mahindi tafuteni wanaokula mayai na vifaranga.
  8. Pinetech Way

    Miaka 30 ya Chadema, Swot Analysis, PEST Analysis, Imarisheni Strengths, Shughilikieni Weakness, Start A Fresh!.

    Tafadhalini sana tulishawaambia wale wasio wachadema msipende kumshauri,kwani Nia zenu ovu nasio njema,lakini kwa uwezo wa mungu sie tutaweza kuyamaliza na sio mtu atokee ccm kuishauri chadema nendeni mkashauri chama chenu.mlidhani chadema itakufa ng'o Wala msiwaze hayo tupo juu kwa kijigitali.
  9. Pinetech Way

    Tuliambiwa Mawakili wa kesi ya Mbowe ni wa kujitolea, kulikoni tena wanataka pesa?

    Kuwachangia mawakili sio kosa Ila kunawatu wanatafuta shali kwa chama husika,kwani muuliza swali zinamuhusu Nini hizo pesa hata Kama zinapigwa Nani kamuomba achangie mawakili wa kumtetea m/kiti wetu?tuache unafiki wa kuchokonoa yaliyopo ndani chama.
  10. Pinetech Way

    Karibuni tujadili Ibara za kubaki, kuondolewa au kufanyiwa marekebisho kwenye Katiba ya Tanzania

    Hapa hakuna Cha kujadili viraka,tunahitaji katiba iliyochambuliwa na tume ya walyoba ambayo walipiga kila mkoa na wilaya zake.tunataka Sasa katiba rais asaini ili tuipigie kura watanzania
  11. Pinetech Way

    Mgawo wa Umeme wasitishwa, utafiti mpya umeona hauhitajiki kama awali

    Tanesko kuna siku tanesko tutawapeleka mahakamani kwa kukatakata na kuwasha, hii inaonyesha wazi kuna kamchezo kanafanywa na manegiment ya tanesko, tafuteni njia mbadala ya kunusuru tatizo lenu la Zima na kuwasha huu michezo muuache mnakela mno.
  12. Pinetech Way

    Kesi kuhusu kujiuzulu Spika: Mbatia atabezwa, lakini ana hoja

    Wake wanaombeza Mbatia Ni watu wasioelewa katiba vizuri,na ndio haohao wanasema katiba inafaa ileile,ndio maana mataifa mengine yatushangaa kwa kushindwa kudai haki yetu kwa vitu ambavyo vinatuumiza,mf hizi tozo za miamala zinapigwa mchana kweupe na hazionyeshi exp date,watu wanajiuzulu tu bila...
  13. Pinetech Way

    Hili ndio jengo la Machinjio linalodaiwa kugharimu shilingi milioni 200 huko Kigoma

    Nilishasema kuwa nchi hii inakuwa kikwelikweli,hata hizi bado wanadai hazitoshelezi kumaliza huo mjengo.kwakuwa watanzania tunakamsemo "hakuna shida"wakati maumivu unayapata haikusaidii,hivo Basi tufike sehemu tuseme Sasa Basi inatosha ili Hawa wanaolihujumu Taifa Hilo wafikishwe mbele ya sheria.
  14. Pinetech Way

    Tetesi: Stephen Masele kuwa spika mpya wa Bunge la Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania?

    Mengine yote fanyeni kwa kuwa bunge Hilo Ni la kijani hakuna rangi nyingine itakayo ingia,tunachotaka sie Ni katiba tu na tume huru ya uchaguzi ndio tutaelewana.
  15. Pinetech Way

    Tulia Ackson atoa msimamo wa Bunge, asema Rais ni Mkuu wa Nchi na ana mambo yote!

    Wabunge angalieni wagombea wapya achaneni na huyu tulia na hafai kukalia hicho kiti chagueni mtu kwenye msimamo na asiyeyumbishwa na muhimili wowote.
Back
Top Bottom