Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 80,836
- 93,615
Kweli tupuRais kushinikiza spika kujiuzulu yenyewe tu inavunja katiba, kwani inaondoa dhana nzima ya kujitegemea kwa mihimili kiutendaji ili kuleta checks and balance.............the only way forward ni rais kuvunja bunge nchi irudi kwenye uchaguzi.