Recent content by PIMs

  1. P

    Mama mkwe hataki niolewe na mwanaye kisa mimi ni Mchaga

    Wachaga!!! hata mie mwanangu siwezi kumruhusu aoe. Zile safari za kila december nahisi kuna matambiko wanafanyiwa.
  2. P

    Nini dawa ya mwanamke anayekutukana mara kwa mara?

    mzee wee mvumilivu sana na uendelee kua hivyo. It happened to me toka aliponitukana hamu ya kuwa nae ime[otea kabisa kwenda zero. we used to talk on phone daily but now hata week inaweza kupita hatuwezi kuongea kabisa. Na hata tukiongea sinaga maneno ya kuongea nae. Naishi mtaani kwenda nyumbani...
  3. P

    Kiwanja kinauzwa Morogoro

    Lukobe sehemu gani mimi ni mwenyeji wa huko morogoro na natafuta kiwanja! au nipe namba ya kiwanja nitakifahamu
  4. P

    Dr. Dalaly Kafumu: Kusema ukweli uamuzi wa Rais katika suala la mchanga utaligharimu taifa baadae

    Huyu mtu amekua kamishina wa madini kwa muda mrefu sana mpka alioamua kuwa mwanasiasa. Huyu ni sehemu ya watu ambao vyombo vya dola wameambiwa wawachunguze. Hakuna haja ya kueleza hasara atuamie yeye alifanya nini kutimiza matakwa hayo ya kisera.
  5. P

    Naomba ushauri: Mpenzi hatujaonana anataka nimtumie pesa

    Acha ubahili bana! wwe mtu unampenda nakuomba hela unalalamika sasa akaombe wapi? Hio kawaida bana mapenzi bila sukari shida. Wewe hua huongi?
  6. P

    Ninashangaa mwanaume kushindwa kumridhisha mkeo

    sio kama unavyofikiri, kuna wengine wakitoka wako fiti balaaa ila kwa mke shida. Hapa inachangiwa na mazingira pia wakati mwingine ukiwa nje mnakua safe zaidi kiusalama kuliko nyumbani kwenye watoto. So mazingira yanachangia sana japo hata usafi pia. Ukikuta mwanamke anaintertain watoto hadi...
  7. P

    Nahisi hili jitu linachukua msichana wangu

    Huyo msichana hakuheshimu kabisa na ukiendekeza urafiki wao hata ukioa hauishi. Utasikia ulinikuta nina marafiki wa kiume na utaendelea kuumia maisha yako yote. Mimi ni kweli nimewahi achana na msichana kisa hayo mambo ya urafiki na wanaume ulizidi. Mimi ninachojua hakuna urafiki wa jinsia...
  8. P

    Kwa anayoyapitia RC wa Dar kwa sasa bora angejiuzulu

    Haya ni mashambulizi binafsi juu ya mtu. Sidhani kama marafiki ni watu muhimu sana kuliko kazi. Kazi inakupa kula marafiki wanakupa kula? Mimi nafikiri tumuache afanye kazi inatosha tumemsema sana. Hoja ya marafiki sio hoja lete hoja za maana hapa tujadili. Kama unavita binafsi usifike hapa...
  9. P

    Uchafu na lugha mbaya zimenitoa kwenye mood ya kupenda

    usije kuoa ukitegemea mtu atabadilika with time. Hakunaga kitu kama hicho
  10. P

    Nimeshindwa kuuthibiti wivu

    umewahi kumuamini mwanadamu?, Mungu tu ndio mwaminifu wanadamu wanabadilika sana
  11. P

    Uchafu na lugha mbaya zimenitoa kwenye mood ya kupenda

    kupiga niliacha zamani sana. Nimewahi piga mtu akapoteza network kwa dakika 5 nilihisi segerea ipo mikononi mwangu. Sipendi kupiga siku hizi kabisa
  12. P

    Uchafu na lugha mbaya zimenitoa kwenye mood ya kupenda

    Ukimuona balaa lazima usimame kumwangalia ila ninaemfahamu shida. Hata ukimchukua sikuonei wivu kabisa
  13. P

    Uchafu na lugha mbaya zimenitoa kwenye mood ya kupenda

    utaweza hii kazi kila siku. Halafu kuna mambo ya aibu hasa kumtreat mtu mzima kama mtoto. Haipendezi kabisa cha msingi ni kufanya kazi zingine papuchi zipo tu na kipindi cha JPM hiki. Mtaani heshima imerudi, wanagombea kama mpira wa kona.
  14. P

    Uchafu na lugha mbaya zimenitoa kwenye mood ya kupenda

    Umewahi kumfundihs bata usafi? wengine ni asili yao
  15. P

    Uchafu na lugha mbaya zimenitoa kwenye mood ya kupenda

    papuchi zinanuka kaka, acha tu.
Back
Top Bottom