Recent content by pilo9069

  1. pilo9069

    KLM Royal Dutch Airlines: Bonge la ndege

    Boeing na MC Douglas ni kampuni mbili tofauti, yani hapa ni sawa na kusema Scania Toyota. Hata hivyo kampuni hizi zili merge miaka ya 90 na facilities zote za MC Douglas zilichukuliwa na Boeing.
  2. pilo9069

    Ni mashine gani ambayo ukiipata itafungua njia zako za kibiashara?

    Kuna pump unaweza kutengeneza mwenyewe na haitumii umeme, material yake ni very common. Ingia youtube search "free energy water pump"
  3. pilo9069

    Juma Aweso ndiye Rais ajaye

    Sasa ndugu unataka watu wapinge kwa hoja wakati mada yako haina hoja.
  4. pilo9069

    Ushauri: Ununuaji wa magari

    Wakuu naitaji kununua suzuki swift 2007, cc <1500 toka japan. Na viela vyetu ndio hivi hivi vya kuunga, nilikuwa nauliza kwa yeyote mwenye kujua chochote hivi ulaji wake ya mafuta upoje? Upatikanaji na bei za spare zake upoje? Alafu kwa kuzingatia hii bajeti mpya hushuru wake unaweza ku-range...
Back
Top Bottom