Recent content by Pillato

  1. P

    Tulia Ackson alipokuwa anazunguka na majeneza ili kuizika CHADEMA Mbeya, hawa viongozi wa dini ya Kikristo walikuwa wapi?

    Je ni kweli msalaba ni alama ya Ukristo Kuna andiko lolote au ni porojo tu?
  2. P

    Wachaga ndio watu wanaogoza kwa kuzaa watoto wachache nchini Tanzania

    Kila ntoto aja na riziki yake,mimi nitafyatua hata 20 Mungu akinijaalia.
  3. P

    Nimebaini mke wangu amezaa nje ya ndoa na amekiri, naombeni ushauri

    Yeye anaweza akaenda nje na akaoa kabisa,je huyo unayamtetea anaruhusiwa kuolewa na wanaume zaidi ya mmoja?
  4. P

    Kura zikipigwa leo, hakika anarudi zake kisiwani

    Endapo Mwenyekiti wa tume utakuwa wewe au mimi ,hilo linawezekana .
  5. P

    Usifanye hili kosa unaposalitiwa na Mkeo/Mwanamke wako

    Nilizikuta sms za mapendo kwenye simu ya yfull ,nikaamuuliza nini hii? Akaanza kujikanyagakanyaga ,nikasema isiwe shida,Nikamwambia kuanzia leo hii mpaka milele sitokula tunda kavukavu nitakuwa navaa condom watoto wawili tulionao wanatutosha,na Kama hata hawa watoto sio wangu wapeleke kwa huyo...
  6. P

    Wanawake wanaficha umalaya wao hivi, ni rahisi kuwajua

    Mwanamke anajuaje kama mwanaume hajawahi kunananiiiii?
  7. P

    Wanawake mnaosimama kanisani kweli mmekosa wachumba na wanaume?

    Wanataka wenye mapesa tu ,akijitokeza mtu Kama mimi utasikia hooo sijafunuliwa.
  8. P

    Wanawake mnaosimama kanisani kweli mmekosa wachumba na wanaume?

    Hao binamu zako watakuwa wanasubiri binti zako wakue ndipo waoe?
  9. P

    Kaka yetu anasaidia ndugu wa mke wake, sisi hatusaidii

    Kwa majibu haya ,ni dhahiri hata mumeo anawasaidia nduguzo tu na hawajali nduguze.
  10. P

    Kaka yetu anasaidia ndugu wa mke wake, sisi hatusaidii

    Hao mashemeji anaowapa pesa wanampa mbunye?
  11. P

    Polisi wafuata ushauri wa Kinana bila shuruti

    Walinunua bei gani hiyo nchi?
  12. P

    Naishi na mwenye HIV+ napata wakati mgumu sana

    Inawezekana sio chai,Kuna mtu ninayemfahamu mkewe + yeye - mwaka wa 13 huu.
  13. P

    Tanzania nchi yangu tuna kwama wapi? Yaani darasa la nne alipwe zaidi ya million kumi, halafu mwenye Shahada ya kwanza alipwe 716000/=?

    Unaonaje ukaachana na huo ualimu ukawa mbunge ili uwe unajikusanyia hiyo mihela?
Back
Top Bottom