Nilizikuta sms za mapendo kwenye simu ya yfull ,nikaamuuliza nini hii? Akaanza kujikanyagakanyaga ,nikasema isiwe shida,Nikamwambia kuanzia leo hii mpaka milele sitokula tunda kavukavu nitakuwa navaa condom watoto wawili tulionao wanatutosha,na Kama hata hawa watoto sio wangu wapeleke kwa huyo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.