Ukomo wa hedhi ni kipindi ambacho mwanamke anaacha kuziona siku zake kama ilivyokuwa tangu anavunja ungo. Kitaalamu, hiki ni kipindi ambacho mwili wa mwanamke unaacha kuzalisha homoni za Estrogen na Testosteron ambazo ndizo zifanyazo kazi ya kupevusha mayai kila mwezi.
Mwili unapoacha kuzalisha...
Kutembea ni njia salama na nzuri inayosaidia kuujenga na kuuimarisha moyo uwe na afya nzuri na usio katika hatari ya kushambuliwa na maradhi. Mazoezi au tabia ya kufanya mazoezi inayo faida kubwa zaidi kuliko matumizi ya dawa.
Faida 20 za mazoezi ya kutembea
1. Mazoezi husaidia kupunguza...
1. Kitunguu saumu
Chakula punje 8 mpaka 10 za kitunguu saumu, menya na uzikate vipande vidogo vidogo kisha meza na maji vikombe 2 kutwa mara 2 kwa mwezi mmoja. Pia hakikisha kila chakula unachopika basi kitunguu saumu lazima kiwemo kama moja ya viungo na ukiweke mwishoni kwamba kisiive sana...
Bawasiri ni ugonjwa katika njia ya haja kubwa, hujitokeza kama uvimbe au kijinyama ambacho huweza kuonekana hadi nje. Kwa kiingereza hujulikana kama haemorrhiids au piles.
Bawasiri inawaza kupeleka upungufu wa damu mwilini. Bawasiri inaweza kutibika ama kwa upaduaji ama kwa matumizi ya dawa...
Kichaa mmoja kapiga cm hospitalini
KICHAA:halooo samahani eti chumba namba 17 kina mtu
NESI MAPOKEZI:subiri nikaangalie
KICHAA:pouwaaaaaaa
NESI MAPOKEZI:nimekwenda kuangalia hakuna mtu,kwanini umeuliza hvyo…..?
KICHAA:nilitaka kupata uhakika kama kweli nimetoroka au bado nipo
Mwanamke mjamzito anaweza kupata vidonda vya tumbo kabla au baada ya ujauzito. Hata hivyo tafiti nyingi zinathibitisha idadi ya wanawake wajawzito wanopatwa na vidonda vya tumbo kwa sasa ni ndogo sana.
Umakini unahitajika sana katika kumchunguza mama mjamzito ili kuelewa nini kitakuwa ndiyo...
Ni kiungo ambacho kinatokana na mizizi ya mmea wa tangawizi.
Mmea huu unafanana sana na binzari ikiwa bado haijamenywa maganda yake. Na kwa hapa Tanzania tangawizi hulimwa sana mikoa ya nyanda za juu kusini na baadhi ya mikoa ya kama Kilimanjaro, baadhi ya maeneo ya mkoa wa Manyara, Morogoro...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.