Habari wana bodies,napenda kujua Juu ya Sheria na miongozo juu ya watumishi wa umma wanaofanya kazi hadi siku za mapumziko ya sikukuu za umma,je wanastahili kupata stahiki gani kwa mujibu wa sheria?
Naulizia, inakuwaje kisheria kama Mtuhumiwa amewasilisha hati ya ushahidi iliyoghushiwa, Mbali na kuikataa isitumike, Je naweza nikafungua Shauri jingine dhidi yake Kwa kughushi nyaraka?
Mm ndo niliomba mkopo lkn sikupewa mkopo huo,hadi bank wakaanza kunikata kwenye mkopo bila kuwa wamenipa mkopo,sasa nilikuwa napatiwa ushauri na mdau ndo akaniuliza kuhusu kipengere cha dhumuni la mkopo ili anisaidie namna ya kudai fidia,mm nikamjibu kuwa ktk mkataba ule sikuona kipengere cha...
Napenda kujua ikiwa mtu au taasisi ikitoa mkopo kwa mtu mwingine lakini ikitokea katika mkataba husika hakuna kipengele cha "loan purpose na madhala yakapatikana ktk mkopo huo, nani kati ya mkopaji na mkopeshwaji atafaidika na hali hiyo mahakamani?
Naomba kujua kama mtu aliomba mkopo then katika mkataba yule mtoa mkopo hakuweka kipengele cha "madhumuni ya mkopo",je ikitokea shida mbele ya safari yupi anafaidika mkienda mahakamani?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.