Habari za asubuhi wakuu, asubuhi ya leo nikiwa natokea zangu Morocco kuelekea mjini kutafuta mkate wa kila siku kwa kutumia usafiri wa mabasi ya mwendokasi, nimeshangazwa kuona dereva wa basi nililopanda kutoka Morocco kwenda Kivukoni akilalamika kuwa hajapewa mshahara hadi sasa.
Nimeshangazwa...
Umeme mnakata hovyo hovyo. Jana umeme umekatika asubuhi saa mbili umerudi SAA sita usiku, muda huu asubuhi hii tayari mmeshakata, hivi mnataka sisi wajasiliamali wadogo tunaotegea umeme tuishije?. Shirika la Tanesco mna maudhi mengi kwa kweli. Umeme wenu sio wa uhakika.
Tanesco siwaelewi kabisa, mbagala wiki hii tu umeme umekatika kuanzia asubuhi kurudi jioni zaidi ya Mara tatu. Tatizo ni nini?. Muda huu Leo tayari wameshakata, hivi kweli sisi wajasiliamali tunaotegemea umeme kusukuma maisha tutajikwamua kweli kwa mtindo huu?. Tafadhalini rekebisheni hizi kasoro.
Tanesco kwa nini mbagala siku za jumamosi umeme huwa lazima asubuhi ukatike mnarudisha jioni. Kwa nini jumamosi mnatuhudhi sana. Sir wengine weekend ndo siku za kutulia nyumbani na familia zetu. Mnatuboa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Makamba aache unafiki, kipindi cha kampeni hakuna kituo kilitenda haki kwa pande zote za wagombea kwa kutoa taarifa za habari zenye uwigo mpana kama ITV, kumbuka hata Emmanuel Buhohelah aliyekuwa mtangazaji wa ITV kwa sasa ni mwandishi wa habari wa ikulu.
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.