Recent content by Pierre2017

  1. Pierre2017

    Ushauri nataka nijitose Mwanza mradi wa SGR

    Kwann usianzie dodoma to singida..nadhan ndo pako hot sahv,lkin n vzr ukawa na skils zinazohitajika huko,km udereva,boiler maker,operator wa mitambo nk,
  2. Pierre2017

    Niulize chochote kuhusiana na biashara ya duka la jumla

    Kwa ambae ana uzoefu wa biashara ya vinywaji km soda,maji,pombe kali kwa jumla aje na uzi apa tupeane michongo!
  3. Pierre2017

    Wauza smartphone tukutane hapa

    Iphone 7plus Gb 264 Battery 100% 550k Clean Kibaha! 0743573019
  4. Pierre2017

    Nifungue project/biashara gani kwa mtaji wa milion 12

    Apa labda ufungue duka la beer tu uwakala ni pesa ndefu asee ila duka inaweza kutosha japo bdo n ndogo naongea hvyo kwa experience sibahatishi
  5. Pierre2017

    Wauza smartphone tukutane hapa

    Iphone 7+256gb BH 100% Used for 2 months 650k Everything work perfect 100% Location : Pwani
  6. Pierre2017

    Wapi nitanunua vocha za jumla na mimi niuze jumla kwa Dar es Salaam?

    Habari wa JF Nataka kufanya biashara ya kuuza vocha za jumla lakini sijajua nanunua wapi hizo vocha,ukiwauliza wauzaji wa jumla kila mmoja anapiga chenga wengine wanasema hazina faida..mimi naomba kupata taarifa sahihi either kwa anaefanya hii biashara au anaejua taarifa sahihi! Nawasilisha!
  7. Pierre2017

    Karibuni nitapata Shilingi milioni 100: Naomba ushauri wa namna ya kuiwekeza

    Wekeza kwenye biashara ya uuzaji wa pombe kali jumla,ni biashara endelevu faida ipo na soko lipo pia..
  8. Pierre2017

    Vitu 4 muhimu unavyopaswa kuvijua kabla ya kununua used iphone (iphone iliyotumika)

    Vipi kama iphone inaonesha uko black listed tayar inaweza kuletea madhara gani!?
  9. Pierre2017

    Wauza smartphone tukutane hapa

    iphone 6s+ 64gb Batterylife 100% 480k cash
  10. Pierre2017

    Wauza smartphone tukutane hapa

    Iphone 6s plus 64gb Battery life 100% 580k Hii ni zile iphone org Used for 2 months only Sent using Jamii Forums mobile app
  11. Pierre2017

    Nafasi za kazi, IT Manager, Kilombero Sugar Company

    Mwenye ramani za apo atusaidie tukajaribu kujiskisha tupate uzoefu Sent using Jamii Forums mobile app
  12. Pierre2017

    Nafasi za kazi, IT Manager, Kilombero Sugar Company

    Hivi apo kiwandani hamna nafasi za unskilled labour!? Sent using Jamii Forums mobile app
  13. Pierre2017

    Uzi maalum wa kupeana connection za kazi za udereva popote Tanzania

    Au kama kuna group la madereva tujoin tuwe tunapeana updates Sent using Jamii Forums mobile app
Back
Top Bottom