Recent content by piego

  1. P

    Kucheleweshewa usafiri bila sababu maalumu

    Shukran sana, this was helpful
  2. P

    Kucheleweshewa usafiri bila sababu maalumu

    Ungenisaidia msaada nilioomba ingekuwa vizuri zaidi
  3. P

    Kucheleweshewa usafiri bila sababu maalumu

    Habari zenu wakuu, Naomba kuuliza, ikiwa basi linalotoa huduma za kusafirisha abiria mikoani limechelewa kuanza safari bila sababu maalumu, abiria wanatakiwa kuripoti wapi? Naomba kama kuna mtu anafahamu namba ya simu ya Serikali/taasisi zinazosimamia usafiri wa abiria atume hapa ili turipoti...
  4. P

    Kiongozi aliyehujumu na kuua kiwanda cha TIPER ni wa ovyo kuwahi kutokea Tanzania

    Mimi na wewe hapa tumeelewa umiliki na umuhimu wa kiwanda hiki na kwa nini kirudishwe kwa mwekezaji hata bure Siku mama atapofanya hivyo, litaibuka kundi kubwa la kumpiga vita kuwa "anauza nchi", "anagawa Mali za serikali kwa mabeberu", "anagawia bure wapiga dili" Hao ndio watanzania.. you can...
  5. P

    Nini cha kufanya ukipata maambukizi ya covid 19

    Habari za jioni wanajamvi Mimi ni medical personnel. Ningependa kutoa walau mchango wangu wa mawazo katika ugonjwa huu wa COVID 19 na namna bora ya kuukabili ugonjwa huu. Siko hapa kwa ajili ya kupinga au kuunga mkono jitihada zinazochukuliwa kuhusu ugonjwa huu, bali ninaongezea katika kile...
  6. P

    Nini cha kufanya ukipata maambukizi ya covid 19

    Habari za jioni wanajamvi Mimi ni medical personnel. Ningependa kutoa walau mchango wangu wa mawazo katika ugonjwa huu wa COVID 19 na namna bora ya kuukabili ugonjwa huu. Siko hapa kwa ajili ya kupinga au kuunga mkono jitihada zinazochukuliwa kuhusu ugonjwa huu, bali ninaongezea katika kile...
  7. P

    Kupoteza uwezo wa kunusa yaweza kuwa/ni dalili za mwazo za COVID19

    Please, self Isolate... likely ni Corona.. symptoms zinavyokuja huwa hazina formula.. kama umetembelea areas zenye local transmission, especially Europe na una flu like symptoms.. Isolate yourself to protect your loved ones. Jitibu dalili: maji ya uvugu yenye chumvi kusafisha koo.. Kula vizuri...
  8. P

    Kauli ya Rais kusali siku tatu imetafsiliwa kinyume,Makanisa yanafurika na kuongeza maambukizi. Serikali ichukue hatua

    Naomba nianze kwa kukupongeza kwa kueleza tatizo hili la ugonjwa wa COVID19 na usaambaaji wa virusi hivi kwa lugha nzuri kabisa na yenye kueleweka Ujumbe huu unafaa kuwa copy pasted na kuwa shared kwa magroup ya whatsapp ili watu waelewe ukubwa wa tatizo na kuchukua hatua za kujikinga Tatizo...
  9. P

    Mishahara itakuja ongezwa kweli?

    Kitu kimoja muhimu wafanyakazi wanatakiwa waelewe ni kuwa, kama serikali ikiongeza mapato kwa namna yoyote ile basi itaweza kuongeza mshahara. Lakini kama mapato yanadidimia kiasi inashindwa hats kuhudumia bajeti za wizara muhimu kabisa hats kwa 50% tu, basi tuelewe hali in mbaya!! Hawataweza...
  10. P

    Tupo wengi tunaosubiri siku ya anguko la Makonda

    Mkuu, wakati unaondoka nistye twende wote.... Maana patakuwa hapakaliki!! Sent using Jamii Forums mobile app
  11. P

    Tukutane hapa tuliowahi kuvamiwa na majambazi tupeane uzoefu/ushuhuda

    Aisee... Nimecheka vibaya... Hahahaa... Na hiyo avatar yako sasa??!! Sent using Jamii Forums mobile app
Back
Top Bottom