Mayala, Mimi hasa nahitaji tuandike makala.nyingi sana zinzohusu kusrudishwa bungeni mchakato wa katiba mpya....
Natamani kila tunapoamka kwa uwezo wa Mungu tuongee kuhusu katiba mpya.
Haiwezekani taifa lililojaa wasomi zaidi ya asilimia hamsini tushindwe kuweka shinikizo ili huyu Neo- dikteta...
Nawashangaa sana watoto wa Lumumba kuzidi kushadadia hii kamatia chini ya wapinzani,
Hivi bado hamuoni mambo yalivyo ovyo ovyo, ? Ndugu zangu tuwe kitu kimoja kupinga huu utawala wa kikasuku.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.