Kama nilivyokuwa na imani na serikali yetu. Hatimaye mkuu wa Mkoa ametokea kuwasikiliza wananachi hakika niiepe heko serikali yetu. Kwa undani sikiliza hiyo https://youtu.be/yJfYZHUhx80?si=9s-4TYFHn2AgFsMV
Kwa miaka zaidi ya ishirini wananchi wa kata hizo hapo juu kwenye manispaa ya Kigamboni tumekuwa kwenye hatari za maisha ya umiliki wa ardhi yetu umekuwa hauna hatma. Ilianza kwa Jeshi miaka ya tisini kuwa inaomba maeneo hayo kwaajili ya kufanya mazoezi na wananchi walikuwepo walikuwa wanawapa...
Habari za leo.
Ukiwa ni tarehe 30/06 asubuhi toka saa kumi na mbili asubuhi system ya kupokea taarifa iko chini na inachukua muda mrefu sana kuload.
Tunaomba mfanye jambo ili matakwa ya kisheria yatekelezwe. Sheria inataka mpaka tarehe 30 sasa kufanya system iwe na issue wakati tunajua...
REST IN PEACE Mr Gwiyama, Hapa ndipo ninataka niwe na kipajia kama kile cha Mzee Mohammed Said katika kuandia Tazia ( na sio Taanzia kutokana na maelezo ya siku za karibuni) ili tuweze kuelewa Taifa limepoteza mtu wa namna gani. Kijana kutoka Magharibi ya nchi akiwa amejaliwa akili iliyotimamu...
Kama hili jambo tulilotangaziwa leo ni kweli sio cheap politics kuna maswali mengi sana ya kujibu. Ambayo mimi kwa hekima yalitakiwa yafanyiwe uchunguzi wa kisanyasi kwanza kabla yakutangazwa kwa umma maana madhara yake yanaweza kuwa mengi kuliko faida. Swala lolote la kitaalamu ni muhimu sana...
Hizi habari za kuunganisha UZI kwa kuwa zimesema neno fulani naona nayo sio sawa uzi niouanzisha nia jambo ambalo linahitaji macho na masikio ya shirika ukiunganisha inakuwa mtu aliyesoma kabla ya hayo anakuwa hano morali tena ya kuchangia. Mod tafadhali naomba uzi huo wakuomba kulipa kwa...
Hakika yaani kwa hicho cha laki nane ni Tshs 66,000 sasa unaweka mtu akijiunga analipa Tshs 132,000/ a halafu anaendelea na hiyo 66,000/ Hii inakuwa ni business acumen na cha mamilioni inakuwa kwenye laki kadhaa kwa mwezi na kile cha 192,000/ inakuwa kwenye 16,000/ kwa mwezi
Napenda kuwapongeza sana kwa kuleta vifurushi mbalimbali ambaza kwa ukweli italeta tija kwenye ujenzi wa taifa.
Ila nilikuwa na jambo moja ya kushauri shida kwenye kifurushi cha awali haikuwa sana kwenye fedha ila ilikuwa ni jinsi ya kulipa ni kwamba wafanyakazi wanachangia kila mwezi, ila watu...
Pole ila kimising anza kufikiria njia ya kuongeza kipato chako. Uwe na budget halisi kutokana na mapato yako. Kuteleza sio kuanguka songa mbele huwezi kubadilisha ya jana ila tumia leo kubadilisha kesho
Kaka Fadhili pole lakini najua unajua kwamba yeyote anayekupa kazi ana uhuru wa kukutoa kazini we serve at the pleasure of Bwana mkubwa naamini katika vipaji vyako. Nilipokuwa natafakari nikaona hakunaga ambaye one way or another ajawahi kukutana na kushushwa ila kupandishwa is in making. Uzuri...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.