Recent content by phytohaemoglutinin

  1. P

    "Offside trap" mbinu inayotumiwa na Barcelona Fc kudhibiti wachezaji tishio duniani, mpaka sasa hakuna kocha mwenye mwarobaini wa kuizuia

    Ni vile tu hii mbinu Ancellot hakuifanyia assignment ila watu wakikaa wakaifanyia assignment hiyo mbinu hawezi fanya KAZI tena! For me it was a surprise to madrid
  2. P

    Simba ni timu ya kwanza katika historia kuanzia ugenini dhidi ya Waarabu

    Kwa hiyo point ni kuwa wa kwanza kuanzia ugenini dhidi ya warabu au yanga kuanzia ugenini dhidi ya timu ya Libya? Any way katika rank za CAF , yanga ni ya 13 na Al ahly tripoli ni ya 31, Sasa sijui nani angeanzia nyumbani
  3. P

    Simba ni timu ya kwanza katika historia kuanzia ugenini dhidi ya Waarabu

    Tuweke record sawa Azam alianzia ugenini dhidi ya Al akhdar ya Libya
  4. P

    Simba ni timu ya kwanza katika historia kuanzia ugenini dhidi ya Waarabu

    Ni Azam vs Al akhdar walianzia ugenini
  5. P

    Simba ni timu ya kwanza katika historia kuanzia ugenini dhidi ya Waarabu

    Azam vs Al akhdar, Azam alianzia ugenini
  6. P

    Simba ni timu ya kwanza katika historia kuanzia ugenini dhidi ya Waarabu

    Basi tuseme Ni Azam dhidi ya Al akhdar, timu ya Libya, kama nayo ni record
  7. P

    Nimeathirika kununua makahaba sasa nataka kuacha

    we jamaa km huna ushauri ni bora ukanyamaza sasa mtu anaomba ushauri we kejeli nyingi... ok we uliye msafi mungu akuepushie na hili balaa
  8. P

    Nimeathirika kununua makahaba sasa nataka kuacha

    sasa huu ni ushauri au kejeli... sawa lakini
  9. P

    Nimeathirika kununua makahaba sasa nataka kuacha

    mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 25... hapo mwanzo nlikuwa na mpenzi wangu bahati mbaya mwaka jana mnamo august tukaachana.. sasa kwa hasira nkaanza tabia ya kutembea na makahaba. siku ya kwanza ilikuwa itigi sehemu maarufu sana morogoro.nikiwa pale nilikaa peke yangu nikiwaA hili na lile...
  10. P

    Manchester United (Red Devils) | Special Thread

    time will tell/muda utasema
  11. P

    Ulimi mzito jamani

    umetisha mkuu! full maujanja
  12. P

    Manchester United (Red Devils) | Special Thread

    man u 3 - 0 chelsea
Back
Top Bottom