Ni vile tu hii mbinu Ancellot hakuifanyia assignment ila watu wakikaa wakaifanyia assignment hiyo mbinu hawezi fanya KAZI tena! For me it was a surprise to madrid
Kwa hiyo point ni kuwa wa kwanza kuanzia ugenini dhidi ya warabu au yanga kuanzia ugenini dhidi ya timu ya Libya?
Any way katika rank za CAF , yanga ni ya 13 na Al ahly tripoli ni ya 31, Sasa sijui nani angeanzia nyumbani
mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 25... hapo mwanzo nlikuwa na mpenzi wangu bahati mbaya mwaka jana mnamo august tukaachana.. sasa kwa hasira nkaanza tabia ya kutembea na makahaba. siku ya kwanza ilikuwa itigi sehemu maarufu sana morogoro.nikiwa pale nilikaa peke yangu nikiwaA hili na lile...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.