Recent content by Phinias Bashaya

  1. P

    Hatuna budi kumpongeza waziri wa ardhi, nyumba na makazi profesa Anna Tibaijuka

    Silioni jipya la kuleta mapya kwenye jimbo lake analoweza kujivunia zaidi ya visima vichache ambavyo navyo havina maji.Kwa kuwa alipita bila kupigwa hakuwa na sababu ya kutoa ahadi nyingi kama walivyofanya wengine ambao baada ya kulemewa wameanza kuzikana ahadi zao kama yule wa Bukoba Vijijini.
  2. P

    Mabomu yarindima Bukoba

    Mabomu ya gesi yamerindima kwa dakika kadhaa nje ya kituo cha Polisi Bukoba baada ya kundi la waendesha pikipiki kuandamana wakitaka kumshughulikia mtu anayedaiwa kuwa mwizi sugu wa pikipiki.Taarifa za majeruhi hazijapatikana
  3. P

    Kilichowasomesha wahaya

    sehemu ya maandalizi.
  4. P

    Richard leo anaizamisha redio ya Kagasheki Bukoba

    Nakushauri usiwe unasikiliza habari za kwenye vijiwe vya kahawa hapo sokoni na kukurupuka kuzileta hapa jamvini.
Back
Top Bottom