Mkuu huu ujumbe wako huu, nadhani unafaha zaidi kuwa pinned kabisa📌
Kijana wa kiume husipotambua nafasi yako na wajibu wako kwenye ndoa/ mahusiano. Utaishia kutoa milio na kuwalaumu wanawake kwenye mitandao ya kijamii. Wenzako wanasonga mbele. No wonder mtalia sana.
Like I always say, the...
"Haikuwa hivyo tangu mwanzo, bali kwa ugumu wa mioyo yenu"
Mateso mengi si kwa sababu ya Mungu, ila kwa hila na ujanjaujanja wa wanadamu wenyewe. Mateso yalianza tangu mwanadamu alipoanza kukiuka maagizo.
Hata sahivi utakuwa shuhuda kwamba sio Mungu anayekutesa, labda unateseka kwa njia zako...
Watanzania tumerely sana kwenye mitihani isiyo na msingi. Mtu amesoma labda tuseme USA, Europe tena kwenye vyuo ambavyo ni highly ranked world wide, ila unakuja kumdisqualify kwa test ya masaa kadhaa. Na watz walivyo na hila wanakutungia mtihani ambao wanajua hutoboi 🤔
Kila mtu na aiba yake. Sio lazima wote wafanane. Sio tu kuongea. we mara ngapi umemuona mzee Backresa adharani au uwanjani kuangalia mpira?
Kila mtu na life style yake, kila mtu yupo huru kuhishi atakavyo. As long as hajaathiri uhuru wa mtu mwingine.
Na ndio maana mimi huwa nasema hawa jamaa hatuwapi heshima wanayositahili. Mtu mmoja anachangia about 5-6 billions. Lakini hata yule ambaye hachangii hata elf 10 kwa mwaka mzigo wa lawama anamtupia mtu huyu.
Lawama za kwanza zinapaswa kwenda kwa wanachama na uongozi wao, kushindwa kuweka mfumo...
Sasa unataka akwambie kuna faida ili nawewe uingilee soko lake.
Iko hivi watu smart wanaverify walichoambiwa kabla hawajacomfirm. Lakini sisi huwa tunaamini hata kabla hatujathibitisha ndio maana wajanja wanaendelea kuwin soko.
Kuhusu suala la Mo Dewj iko wazi mshikaji bado hajafikia hatua...
Anawapa malipo duni! Au analipa kile kitakachomwezesha kutengeneza faida. Wafanyabiashara wote wanafanya hivyo mkuu. Lazima ahakikishe anatumia pesa kidogo kwenye uzalishaji ili aweze kutengeneza faida. Wala taratibu za kiwandani kwake hazina uhusiano na utaratibu wa uwekezaji wake Simba.
Mimi...
Simba inahitaji sura mpya. Yani hao wazee kina Magori, Try Again na wenzao tangu enzi cycle ni ileile. Semba inahitaji watu wenye maono yanayoendana na nyakati za soka la sasa.
Sasa yeye kama ameona hiyo ndio mission yake. Kwa watu wanaoamini kwa Mungu wa Israel tutakwambia, hapana. Huyo haishi katik akusudi lake bali amelikiuka agano. Lakini hiyo ni kwa mujibu wa imani ya upande wetu. Huenda labda kuna upande mwingine wanaamini kwa kufanya hivyo wanahishi katika kusudi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.