Recent content by Philotheo

  1. Philotheo

    JamiiForums Tanzania Kama umeoa au haujaoa take this

    Mkuu huu ujumbe wako huu, nadhani unafaha zaidi kuwa pinned kabisa📌 Kijana wa kiume husipotambua nafasi yako na wajibu wako kwenye ndoa/ mahusiano. Utaishia kutoa milio na kuwalaumu wanawake kwenye mitandao ya kijamii. Wenzako wanasonga mbele. No wonder mtalia sana. Like I always say, the...
  2. Philotheo

    JamiiForums Tanzania Je, kuna Mungu? Kwanini aruhusu mateso makali duniani?

    "Haikuwa hivyo tangu mwanzo, bali kwa ugumu wa mioyo yenu" Mateso mengi si kwa sababu ya Mungu, ila kwa hila na ujanjaujanja wa wanadamu wenyewe. Mateso yalianza tangu mwanadamu alipoanza kukiuka maagizo. Hata sahivi utakuwa shuhuda kwamba sio Mungu anayekutesa, labda unateseka kwa njia zako...
  3. Philotheo

    JamiiForums Tanzania Kuna wimbi la vijana waliosoma vyuo vya nje ya nchi kupata changamoto ya usajili kwenye mabaraza ya kitaaluma kipindi wanaporudi Tanzania.

    Watanzania tumerely sana kwenye mitihani isiyo na msingi. Mtu amesoma labda tuseme USA, Europe tena kwenye vyuo ambavyo ni highly ranked world wide, ila unakuja kumdisqualify kwa test ya masaa kadhaa. Na watz walivyo na hila wanakutungia mtihani ambao wanajua hutoboi 🤔
  4. Philotheo

    JamiiForums Tanzania Kuna wimbi la vijana waliosoma vyuo vya nje ya nchi kupata changamoto ya usajili kwenye mabaraza ya kitaaluma kipindi wanaporudi Tanzania.

    Mtu anayesoma mpaka degree saba huyo anakuwa anajiweza, hawezi kuwa tena ombaomba.
  5. Philotheo

    JamiiForums Tanzania Kwanini matajiri wawekezaji wote Katika soka hawaongei Sana kama Mo Dewij kanjibhai ?

    Kila mtu na aiba yake. Sio lazima wote wafanane. Sio tu kuongea. we mara ngapi umemuona mzee Backresa adharani au uwanjani kuangalia mpira? Kila mtu na life style yake, kila mtu yupo huru kuhishi atakavyo. As long as hajaathiri uhuru wa mtu mwingine.
  6. Philotheo

    JamiiForums Tanzania SI KWELI Inasemekana Trump alishakufa iliyopo ni clone yake

    Na wewe ulikuwepo ukashuhudia kufa na kuzikwa kwao? Sio!
  7. Philotheo

    JamiiForums Tanzania Moyo mpweke pita hapa upate faraja

    That was an amazing 👊
  8. Philotheo

    JamiiForums Tanzania Ukitaka kutambua laghai, jiulize kwa nini jina la Yesu ndo pekee labadilishwa eti kuendana na lugha

    Kwenye biblia kuna picha ya Yesu?
  9. Philotheo

    JamiiForums Tanzania Magori tokea lile tukio la kukimbila Uwanja wa Taifa na kupiga picha kushinikiza Match ya Fainali ipigwe Mkapa ndio nilijua yule mzee ni shoti

    Na ndio maana mimi huwa nasema hawa jamaa hatuwapi heshima wanayositahili. Mtu mmoja anachangia about 5-6 billions. Lakini hata yule ambaye hachangii hata elf 10 kwa mwaka mzigo wa lawama anamtupia mtu huyu. Lawama za kwanza zinapaswa kwenda kwa wanachama na uongozi wao, kushindwa kuweka mfumo...
  10. Philotheo

    JamiiForums Tanzania Magori tokea lile tukio la kukimbila Uwanja wa Taifa na kupiga picha kushinikiza Match ya Fainali ipigwe Mkapa ndio nilijua yule mzee ni shoti

    Sasa unataka akwambie kuna faida ili nawewe uingilee soko lake. Iko hivi watu smart wanaverify walichoambiwa kabla hawajacomfirm. Lakini sisi huwa tunaamini hata kabla hatujathibitisha ndio maana wajanja wanaendelea kuwin soko. Kuhusu suala la Mo Dewj iko wazi mshikaji bado hajafikia hatua...
  11. Philotheo

    JamiiForums Tanzania Magori tokea lile tukio la kukimbila Uwanja wa Taifa na kupiga picha kushinikiza Match ya Fainali ipigwe Mkapa ndio nilijua yule mzee ni shoti

    Anawapa malipo duni! Au analipa kile kitakachomwezesha kutengeneza faida. Wafanyabiashara wote wanafanya hivyo mkuu. Lazima ahakikishe anatumia pesa kidogo kwenye uzalishaji ili aweze kutengeneza faida. Wala taratibu za kiwandani kwake hazina uhusiano na utaratibu wa uwekezaji wake Simba. Mimi...
  12. Philotheo

    JamiiForums Tanzania Magori tokea lile tukio la kukimbila Uwanja wa Taifa na kupiga picha kushinikiza Match ya Fainali ipigwe Mkapa ndio nilijua yule mzee ni shoti

    Ili uelewe jaribu wewe kufanya anachokifanya Mo ndo utaelewa. Tofauti na hapo uwezi kuelewa hata uelezewe vipi.
  13. Philotheo

    JamiiForums Tanzania Magori tokea lile tukio la kukimbila Uwanja wa Taifa na kupiga picha kushinikiza Match ya Fainali ipigwe Mkapa ndio nilijua yule mzee ni shoti

    Simba inahitaji sura mpya. Yani hao wazee kina Magori, Try Again na wenzao tangu enzi cycle ni ileile. Semba inahitaji watu wenye maono yanayoendana na nyakati za soka la sasa.
  14. Philotheo

    JamiiForums Tanzania Umejua dhumuni lako la kuwepo?

    Sasa yeye kama ameona hiyo ndio mission yake. Kwa watu wanaoamini kwa Mungu wa Israel tutakwambia, hapana. Huyo haishi katik akusudi lake bali amelikiuka agano. Lakini hiyo ni kwa mujibu wa imani ya upande wetu. Huenda labda kuna upande mwingine wanaamini kwa kufanya hivyo wanahishi katika kusudi.
Back
Top Bottom