Recent content by phillipe baptiste

  1. P

    Tumeshindwa kuoana kwa tofauti ya dini, utatuzi ni nini hapa?

    Wadau nawasalimu, Nimekua na huyu msichana kwa miaka 5 sasa, na mimi ndie nilikua wa kwanza kwake, mazungumzo ya kuishi pamoja kama mke na mume tuliyaanza 2 yrs ago, kila tunapoweka mezani mjadala huo tunashindwa kufikia muafaka kwa kila mmoja kutaka mwingine ndie abadili dini ili ndoa ifungwe...
  2. P

    Nimegundua wanawake huwa wana expire date

    Kuna binti tulikua tukiishi mtaa mmoja katikati mwa miaka ya tisini, alikua ni mzuri ajabu, kwa lugha ya kawaida hakuna Maneno yanayojitosheleza kuelezea uzuri wake Wakati huo mm nilikua form four yeye form three, vijana wengi sana walijitosa kumtongoza, mm nilikua mmoja wao Nilikua nampenda...
  3. P

    Sex on sunday

    Nonsense
  4. P

    Nina ugonjwa wa kuiba chupi za wanawake

    Huenda bado mtoto maana hizo ni tabia za watoto
  5. P

    Hii ndiyo tofauti ya mafuriko ya CCM na mafuriko ya UKAWA

    Magufuli na genge lake wanasomba watu kutoka sehemu mbali mbali
  6. P

    UKAWA wahaha kuvuluga Mdahalo wa wagombea Urais!

    Hakuna mdahalo pale ni genge la wahuni wanaojiita twaweza na kampuni yao ya ccm, nani atauyazama labda wafuasi Wa ccm
Back
Top Bottom