Wadau nawasalimu,
Nimekua na huyu msichana kwa miaka 5 sasa, na mimi ndie nilikua wa kwanza kwake, mazungumzo ya kuishi pamoja kama mke na mume tuliyaanza 2 yrs ago, kila tunapoweka mezani mjadala huo tunashindwa kufikia muafaka kwa kila mmoja kutaka mwingine ndie abadili dini ili ndoa ifungwe...
Kuna binti tulikua tukiishi mtaa mmoja katikati mwa miaka ya tisini, alikua ni mzuri ajabu, kwa lugha ya kawaida hakuna Maneno yanayojitosheleza kuelezea uzuri wake
Wakati huo mm nilikua form four yeye form three, vijana wengi sana walijitosa kumtongoza, mm nilikua mmoja wao
Nilikua nampenda...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.