Mimi naona hawa jamaa wote wanapigania urais, Lowasa anatumia pesa kuwakamata watu makanisani, misikitini, na hizo saccos ili wampigie kura baadae na Sitta nae anaweka kipingamizi chake kwa kusema Lowasa fisadi. Naamini Tanzania yetu hakuna mwanasiasa msafi hata mmoja ila wapo wanaojitahidi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.