Kwa masiku kadhaa Sheikh Khalifa amekuwa akisikika na kauli yake ya kumtuhumu Rais Magufuli kuwajaza Wakristo wengi kwenye nafasi zake za uteuzi.
Aidha Sheikh huyo aliongezea kwa kusema kuwa licha ya uwepo wa suala hili la udini Rais Magufuli ameweka wazi upendeleo wake wa kikanda ambapo watu...
Dunia imejaa watu wa aina mbalimbali; kuna wanasayansi, wachumi, wahandisi, matabibu, wanamichezo nk
lakini lipo kundi moja ndilo linaloendesha makundi yote ya watu wanaoijaza dunia, nalo ni kundi la wanasiasa.
Mwanasayansi aligundua Bomu la nyuklia lakini mwanasiasa ndiye aliyeamrisha bomu...
Kwa hiyo kwa hizo akili zako za kumezeshwa taarifa unajua kuwa alikubali? Mtoto wa Mulla alieleza ukweli wa mambo lakini kwa bahati mbaya penye kadhia palishapenyeshwa rupia.
Hakuna haki mbele ya pesa ndugu yangu, kama unabisha subiri yakukute
ACP Robert Mande ni mla rushwa kama wala rushwa wengine tu, ndo maana anaingia kwenye skendo kibao za upigaji. Kama unadhani yeye ni malaika aliyeshushwa na bwana kuja kuleta uokovu katika nchi naomba ukajipange tena
usidhani kama kumkuta mtu na nyara za serikali ni jambo zito sana, uliza watu wa kitaa wanavyokamatishwa bangi na polisi ili wakifikishwa kituoni watoe kitu kidogo polisi wale.
Hapo ndo utajua kuwa hii nchi haitendi haki, kila mtu anachumia tumbo lake tu. Hiki kikosi kazi nacho ndo kipo kwenye...
Hata huyo aliyepeleka mashitaka fake na kuhonga watu wa TANAPA na Mahakama lengo lake lilikuwa kama lako, alitaka Mhe Mulla ajiuzulu ili yeye apate nafasi ya kugombea na kulichukua jimbo lakini kwa bahati mbaya njama zake hazijamfikisha alikotaka... Sisi na Mulla wetu, Mulla wetu na Mbarali yetu...
Huyo Maghembe mwenyewe yumo kwenye orodha ya mawaziri mzigo, usijifanye hulijui hilo. Tena unaonekana hata elimu ya sekondari hujaipitia maana unashangaa mtu wa PCB kupata zero, kila aliyeisoma post yako amekucheka sana.
Hebu tuwekee kando hizo akili zako za nyumbu
Haya sasa hebu anika matokeo...
Hongera sana, ni mapenzi na furaha kubwa kuona umefanikiwa. Sasa kinachofuata ni kuheshimu sheria za ofisi yako kisha onesha vipaji na ubunifu wa kipekee ili hata ikitokea umepata dharura ya kuwa nje ya ofisi japo kwa siku moja tu ofisi isikitike.
jiendeleze kielimu na epuka makundi makundi ya...
Kila ninavyoutafakari mwenendo wa siasa wa ACT WAZALENDO nazidi kuelewa ni kwanini hiki chama kiliwahi kuitwa CHAMA CHA MAWESE na mmoja wa wagombea wa ubunge kwenye uchaguzi mkuu wa 2015.
Ni chama ambacho tukimtoa Mhe Zitto Kabwe na Mama Anna Mgwila basi wote waliobaki ndani yake ni pumba tupu...
Hizi picha za kuokota mtandaoni siyo za kuzitumia sana kuonesha ubaya au uzuri wa jambo hadi pale tutakapokuwa na uhakika. Nyingi zake zinakua siyo za Tanzania na nyingine zinakua za kutengenezwa. Nawaomba tuwe makini nazo
Sent from my TECNO-L5 using JamiiForums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.