Recent content by Philip Samwel Lulinda

  1. Philip Samwel Lulinda

    Vivutio vya utalii Tanzania na faida za utalii wa ndani

    Kigwangala ndie Waziri wa utalii....hao walomtanguliaga walikuwa wapiga dili tu. Hongera Kigwangala Mungu akupe nguvu .
  2. Philip Samwel Lulinda

    TANZIA: Diwani wa CHADEMA Kata ya Namwawala mkoani Morogoro auawa kwa kukatwakatwa mapanga

    Msiwe wepesi wa kulaumu nakusingizia siasa, huenda Diwani huyu alikuwaga na kandokando zake zilizopelekea kutokea mauaji hayo, hebu iachieni police na vyombo vya usalama vifanye kazi yake, Na mengine yatajulikana lakini siyo eti kwakuwa alikuwa chadema ndio muanze kuitupia lawama ccm. No acheni...
  3. Philip Samwel Lulinda

    Kondakta, na Dereva wasimulia mkasa wa mwanafunzi wa NIT kupigwa risasi

    Mnajua Aman huanza kupotea kwa namna Wapinzani wafanyavyo... Mimi huwa nasema kwamba angalieni Congo,Rwanda walivyokuwa before Kagame. Lazima nchi iwe na Rais Makini kama tuliyenae ndio kila jambo linaenda vema. Mfano Rwanda before kagame ilikuwa siyo nchi yakutamani kwenda. Leo Rwanda ya kagame...
  4. Philip Samwel Lulinda

    Kondakta, na Dereva wasimulia mkasa wa mwanafunzi wa NIT kupigwa risasi

    Sio jambo jema kuandamana Unaandama kwa kitu Kipi? Mda hu ni kazi kazi. Mambo mengine mnajitakia wenyewe.
  5. Philip Samwel Lulinda

    Nape amtaka Mbowe ajiuzulu, ameaibisha Upinzani

    Nataka kuambia kwamba Nape ni mtu makini kabisa , Mimi nasema nakumuunga mkono nape. Kwa kauri aliyosema ,Nazani Wapinzani walitegemeaga Nape anaweza kwenda kwa vyama vyao....lakini kwa mtu mwenye akiri timamu huwezi kutamani na kujiunga kwenye vyama kama chadema. Chadema ni jahazi lisilo na...
  6. Philip Samwel Lulinda

    Mafanikio ya Rais Magufuli 2015 - 2021

    Hapa kazi tu Imeonekana, Rais Magufuli ndie Rais alieleta mafanikio makubwa hapa nchini Tanzania kwa mda mchache Kuliko Watangulizi wake Wote.
  7. Philip Samwel Lulinda

    Nape amtaka Mbowe ajiuzulu, ameaibisha Upinzani

    Naanza na kumuunga mkono Ndugu Nape,Kwa alichosema Mbowe ajiuzuru... Nikweli mbowe alitakiwa kujiuzuru tangu kipindi cha Chacha Wangwe, Mbowe alitakiwa waga pia kujiuzuru pindi Zitto alipotaka kua mwenyekiti wa Chadema. Mbowe kwa undani ana history yakuwa chadema ni Taasisi yake na Baba Mkwe...
  8. Philip Samwel Lulinda

    Natafuta mume "very serious"

    Nipo number zangu 0676668468
  9. Philip Samwel Lulinda

    Natafuta mume "very serious"

    OK hebu come number 0676668468
  10. Philip Samwel Lulinda

    Mafanikio ya Rais Magufuli 2015 - 2021

    Yes Rais John pombe magufuli Kaleta mafanikio makubwa kwa mda mchache kuliko Marais Wote Walio Mtangulia Hongera Jembe Magufuli
Back
Top Bottom