Kwel nchi hii inaaribiwa na wasom....yan mtu anayetafuta kuingia ikulu kwa hal na mali lakin bdo wasom wazima wanajipnga nyumban kwake....ikulu ni mahal patakatifu
watu aina ya afande sele ni wale wanaoshabikia chama 7bu ya mtu flan...kwahyo zitto akiama act nae atahama....kwanza afande sele kaonyesha ni jins gan asivyokua na msimamo tunajua wapo weng xna watakaoamia act tusubil tuone
Cku zote mfa maji haishi kutapatapa ZZK anajaribu kutafuta 7bu nying il aonekane ye ni mwema wakat alikua msalit kwa chama chake na viongoz wke....kama kwel ni mtu mwenye busara ajaribu kukaa kimya nakutafakar ni chama gan kitakachomwingiza bungen mwez november kma ye mwenyewe alivyosema
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.