Recent content by pharergy

  1. P

    Hajawahi kuniona, lakini ananitaka kimapenzi

    Mmh! Jini maimuna? labda!
  2. P

    Hajawahi kuniona, lakini ananitaka kimapenzi

    Jamani yani huyu mwanamke simuelewi kabisa, kwa sababu sijui namba yangu alipata wapi akanitongoza na hatujawahi kuonana lakini siku hizi ananilazimisha tuonane ili anipe penzi, hivi ni mtu mwema kweli.
  3. P

    Riwaya: Penzi chungu

    Sasa cc hzo znatuhusu? We weka mambo bhana acha kunizngua chareee angu!@#
  4. P

    Riwaya: Penzi chungu

    Hapo ndo kwenyewe tupe mambo,nmeipenda hyo!!
  5. P

    Nitumie application gani kupata sms anazotumiwa mpenzi wangu?

    Naic c mzma ww!! Mirembe inakuita!
  6. P

    Hivi hii hali hutokea kwa wanaume wote au ni kwangu tu?

    daaaah! kumbe 2po weng cz even me huwa inantokeaga!
Back
Top Bottom