Mzee Kikwete alipata kura nyingi lakini zikiwa chini ya asilimia 50 ya wajumbe waliopiga kura kwenye mkutano Mkuu wa mwaka 1995. Mzee Mkapa akawa wa pili na mzee Msuya wa tatu.
Mwalimu Nyerere alitoa hoja kwamba ili mgombea awe na nguvu ni muhimu angalao 50+1 ya wajumbe wamkubali. Hoja yake...
Huoni Netanyahu amelazimika kuomba msaada kutoka kwa baba hadi kuchukuliwa hatua zinazokiuka misingi ya ushirikiano ya kimataifa. Uamuzi wa Marekani kuishushia Iran mabomu -clusters-bila kuwa na ugomvi wa moja kwa moja na Iran ndicho ushahidi Israel peke yake haiwezi tena kufurukuta dhidi ya Iran.
Sawa, tukubali wamesombwa na malori. Ni vizuri zaidi ukirusha angalao picha moja ya yalipo-park hayo malori na hata daladala. Vinginevyo hoja ya kusombwa haina mashiko.
Hizi ni porojo, character assassination tu. Nafasi zote za kiwango hicho lazima mgombea apate baraka za serikali yake na isimamie kampeni yake hadi kieleweke. Inaelekea mwandishi wa tuhuma hizi hana uzoefu wa anachokizungumzia.
Tunaweza kuwa na maoni tofauti kuhusu candidature ya Prof Janabi...
Unaweza kuwa sahihi. Hata hivyo inaelekea kauli ya TEC inashabihiana na ujumbe wa Pasaka kutoka kwa Baba Mtakatifu Francis, nukuu "There can be no peace without freedom of religion, freedom of thought, freedom of expression and respect for the views of others". mwisho wa nukuu. Je, TEC...
Unaweza kuwa sahihi. Hata hivyo atakapofikishwa Mahakamani anaachiwa. Akitoka nje anakamatwa tena na kurejeshwa Mahakamani kwa mashitaka mapya. Huu utaratibu sio mgeni natumaini.
Swali ni Je Dunia itakubali au huu waweza kuwa mwisho wa Tanzania?
Dunia inahangaika na tariffs za Trump hivi sasa. Hakuna tena anayehangaika na yaliyoko nje ya mipaka ya taifa lake.
Sahihi kabisa. Lakini leo jamaa mmoja amenipa kijarida kinaitwa Tumaini Letu ambapo kwenye ukurasa wa 4 Askofu mmoja amenukuliwa kwa kusema "Na mafundisho ya Kanisa Katoliki yanasema huwezi kutangaza Habari Njema sehemu ambayo haki imenyang'anywa. Kwa hiyo tuseme, na kuhakikisha kwamba haki...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.