mimi naona haina haja ya kurumbana tuache ushabiki wa kivyama; cha msingi tuwasihi viongozi wetu waache kuoneshana ubabe maana kamuhanda alipoitwa kwenye mazungumzo ya nini kuja na rundo la polisi;;;; na msigwa kama serikali amewaita kwenye mazungumzo hawarespond atafute njia mbadala na si...
Jamani tuache ushabiki na siasa kwenye suala la kitaaluma; kurudia matokeo hayo kunamaanisha hatuna serikali na baraza la mitihani halipo. Hii ni kwa sababu baraza lilijiridhisha na shughuli nzima ya usahihishaji na wizara husika ikakagua ikabariki matokeo yakatangazwa; JE iweje matokeo yarudiwe...
Tafadhari msitake kutuharibia nchi hamwezi kutumia hata akili yenu ndogo kuamua hili hivi mtoto unapoamua kumfanyia standardization wakati alifeli na sabau unazo unatafuta nini kuua taifa au. Wananchi hatujapendezwa na hili na hapa usemi usemao'''''''''Akili ndogo kutawala akili kubwa...
Mimi jamani sijaelewa kabisa hivi mbunge ndo kaongoza mauaji au ameua? Maana kitendo cha kukamatwa na kuwekwa ndani wakati ndo mwenye dhamana ya kulinda na kutetea haki kwa raia wote jimboni hapo why akamatwe?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.