Yaani humu kweli wapumbavu wapo wengi sana kufurahia upumbavu sasa hapo mnatukanwa nanyinyi mnafurahi eti wimbo mzuri kawageuza hmna akili nanyi mmekubali
Mkuu tofautisha mkristo na mkristo mshika dini hata upande wa pili wapo wenye sifa ulizotaja lakini nao ni wa huko, ukimkuta mkristo mshika dini huwezi kumkuta amevaa nguo isiyo na stara hata siku moja ukimkuta mtu wa upande wa pili hajashika dini utashangaa alivyovaa hivyo usimjaji mtu kutokana...
lissu anajuwa vitu vingi lakini havijawahi kuisaidia tanzania hata siku mojailayeye bado huwa anataka asaidiwe na tanzania tuu nia yake yeye akakae ikulu sasa kama anashindwa kuonyesha akili yake sasa nani atamuamini kuwa akiwa ikulu atafanya ya maana?
WE ni chizi kama machizi wengine mbona mbowe alivyo mpoteza wangwe na saanane hamsemagi kisa uenyekiti na tamaa zake za madaraka mauaji mnayo hukohuko chadema
yaani upumbavu wanaofanya viongozi hasa wale waliojifanya wakimbizi ndiyo wanakibomoa kabisa chama wanakuja na matamko yanayoudhi raia mara lema anakashifu watu wa dini hana sera haya lissu kajakaona upinzani hakuna kitu ni upuuzi mtupu kaamua kurudi alikokuwa amekimbilia sijui sasa ataenda...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.