Recent content by Peter Rabachi

  1. P

    Wanawake mkoje nyie? Mnataka mpendwe kwa namna ipi?

    Tabia hii inistaajabishwa kwa wanawake, wanataka kudanganywa na kuingizwa mjini. Mwanaume akikupenda wala hana nia ya kukutongoza wala kutaka mchezo mchafu mbio kumfukiria mambo mabaya. Hivi mnaona kama wanaume wote ni wakuchezea mwanamke. Punguzeni maringo sio wote tuna tabia chafu.
  2. P

    Natafuta mchumba wa kuolewa/kuoa

    Ni kweli alikua anatafuta? Una hakika? Nijib tafadhali.
  3. P

    AshaDii: "JF Woman Of The Year 2011"

    Dada Ashadii nimekua nikikufuatilia kwa ukariibu japo umekua mbaya kwangu sitokaa nikate tamaa. Niliona mchakato na kura nimekutilia. Kumaliza mzizi wa fitina pokea zawadi toka kwangu na safari hii kuna sababu ya dhati kabisa kwa mimi kukutumia na wewe kupokea. Nipe contacts zako zote mimi...
  4. P

    'Friends of Regia' kukutana DSM Kumuenzi Regia (27 Jan 2012)

    Peter Rabachi niongeze nitashiriki kwa skype. habari zaidi zinatolewa lini?
  5. P

    Current THREADS za Mh. Regia Mtema... A Guide Thread

    Hakika nakuambia na kukuhakikishia wewe ni mwanamke wa pekee kua na uwezo kua na fikra kali za namna hii. Kutujali na kutufikiria watu ambao hutufahamu namna hii dada Ashadii unastahili pongezi, nakupenda bure! tena bure kabisa. pole na msiba huu. R.I.P. mh. mbunge Regia.
Back
Top Bottom