Watanzania wengi tu wavivu wa kufikiri wepesi wa kumwaga sifa kirahisi , magufuli kwa sasa amefanya 3% tuu ya mambo yaani kukaba walipa kodi na afya muhimbili kiasi na kuzuia safari za nnje , kero za watanzania ni nyingi mno hususani , elimu , usafiri , rushwa katiba na vinginevyo hivyo...
Tusubili Bunge lianze January ndio tujue utendaji halisi wa Magufuli , kikwete siku 90 za kwanza ilikuwa mchaka mchaka wapi aliishia? Mpaka sasa Magufuli amejitahidi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.