Umepewa limbwata wewe ndiyo maana huna hata aibu eti unatwmbia umemuongezea mapenzi mazr kwn hujui kuwa hupendw?,endelea kuishi naye unatupotezea muda kutuomba ushauli.
Màtukio yanayoendelea ndani ya nchi ni hatari mno kwetu RAIA wa Tanzania,watu tusiwaze lolote kama wahusika wapo nà mpaka leo hawajatoa kauli yoyote ya maana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ujue hii nchi imefika mahala watu tuiheshim na kuwaheshim waasisi wetu kwa kulinda haki za binadam na kufanya democracy inayofaa na itakayo fanya watanzania tuishi kwa Uhuru bila kuwa na Uhuru wa uoga na nidham ya uoga,Watanzania wekeni uchama pembn bali iweni kitu kimoja.
Hiyo ni bahati japo imekufikia muda ambao hukupanga chakufanya jitahidi utafute maziwa kila sk ili asitumie yako na ujitahidi kumpa chakula(balance diet).
Sent from my TECNO-Y6 using JamiiForums mobile app
Wasira huu ni muda wake wa kupumnzika tu masuala ya siasa awachie wengingine wenye nguvu wanao weza wakaendana na Sera ya sasa vinginevyo atakufa mapema.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.