Recent content by peter joseph gibalya

  1. peter joseph gibalya

    Mafanikio ya Rais Magufuli: Viva Rais Magufuli, viva Tanzania

    Haina NAMBA 2020 watanzania kwa umoja wetu na wingi wetu tumpeni kura magufuri kazi iendeleeee
  2. peter joseph gibalya

    Mafanikio ya Rais Magufuli: Viva Rais Magufuli, viva Tanzania

    Nampongeza Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe, John Pombe Magufuri kwa kazi nzuri inayoonekana machoni mwa watanzania tangu 2016 hadi leo.
  3. peter joseph gibalya

    Ikulu: Rais Magufuli awaapisha viongozi walioteuliwa. Mathias Kabunduguru, Godfrey Mweli na Ali Sakila

    Hongera sana kwa wateuliwa huu ni mda wa kufanya kazi ili kuwaletea wananchi MAENDELEO,,
  4. peter joseph gibalya

    Ukweli kuhusu mgomo UDOM

    Inaumiza Sana Vijana hao walidahiliwa pale Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM) kwa ajili ya programu hiyo lakini serikali haikuwa imejipanga kuwapa fedha za mahitaji muhimu kama ilivyohitajika. Taarifa kutoka UDOM zinaonesha kuwa, vijana hao wametangatanga na kuomba pesa za kula na kujikimu kutoka...
  5. peter joseph gibalya

    Nani wa kutoa upinzani mkali jimbo la Ngara ndani ya CCM dhidi ya Dr. Philemon Sengati?

    philimon kama kaka yangu rudi chadema uje uchukue jimbo la buchosa au ngara pale pale nenda chadema ila kama unataka uwaziri sawa kumbuka unaweza kushindwa,nakwapia kwa jina la yesu ukienda ukawa unaenda dodoma kama mbunge na si mhaziri tena,ukipitia ccm hakika utarudi kama mwalimu.
  6. peter joseph gibalya

    Reginald Mengi kugombea Urais

    mengi sawa mana anayajari hata makundi ya wasiojiweza,vijana na akina mama pia kama itakuwa kweli mengi niweke kwenye safu yako nichukue jimbo na mimi
  7. peter joseph gibalya

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    naitwa mwl,peter joseph niko sengerema napendelea kwenda katavi,mbeya,singida au mpanda rukwa nafundisha sekondary,0754812137 au0757411652
  8. peter joseph gibalya

    Ridhiwan sasa ni mzee

    Kaka umeanza maisha mapya ambayo uliyaexpect kwa mda mrefu yakabili na mwombe mungu akusaidie tutimize ilani yetu ya ccm.maswa nako nitakomboa kwa mkono wangu na mwongozo wa ccm na mwomba tu mngu anifkishe next yr.ndg zangv wtz nipen ushauri niombe maswa magaribi au mashariki?
  9. peter joseph gibalya

    Hongera Ridhiwani Kikwete

    Wapenzi na watambuzi wa wagombea wenye hari ya kuwaletea maendeleo watz wameonekana tena kwa mara nyngne ktk jimbo la chalinze ambapo kijana mwenzetu ridhiwani katimiza moja ya ndoto yake ktk maisha,ninasema hongera ridhiwan na hongera martin shigela mana uliliona hili ukasema ccm inamzizi...
  10. peter joseph gibalya

    Siri ya Kalenga CHADEMA yafichuka

    mungu anajua,kama kweli wwatanzanuiua wanajua
Back
Top Bottom