Recent content by Peter Jackson Fidery

  1. Peter Jackson Fidery

    MSAADA: Inaruhusiwa kuanzisha shule inayoshia darasa la 6 au kidato cha 3?

    Hapana haiwezi kuwa sahihi kwako wewe mwenye shule na haitakuwa nzuri kwa wanafunzi pia kwa maana hizo ni hatima zao sasa wakisoma katika shule yako bila kujitim ili wakahitim katika shule nyingne haipendez na sio nzuri kabsa na shule yako itakuwa imekosa sifa
  2. Peter Jackson Fidery

    MSAADA: Kati ya kulima au kufuga nianze na kipi?

    Fanya uoe kwanza ili mkiwa wawili mnakuwa mmegawana tayari ww utalima mkeo atafuga Asante
Back
Top Bottom