Recent content by PETER FRANCIS

  1. PETER FRANCIS

    Kuna tatizo kati ya CCM na Maghufuli.

    magufuli ni dreva makini anaendesha gari bovu.
  2. PETER FRANCIS

    I will vote for CCM because I have so many reasons not to vote for Lowassa

    magufuli is a good driver steering the wrong bus.
  3. PETER FRANCIS

    Confusious Political Crossroad Ahead

    John Magufuli:- Right driver in the wrong vehicle.
  4. PETER FRANCIS

    Afisa mahusiano wa Lowassa anatupa ujumbe gani?

    vigugumizi tele.........
  5. PETER FRANCIS

    Monduli Wamlilia Magufuli, WASEMA Lowassa BAI BAI

    hao watu kwenye mkutano huo wa monduli hawajazi hata basi mbili.
  6. PETER FRANCIS

    Hotuba ya Dr. Slaa kwa Watanzania toka Hoteli ya Serena - Tarehe 1 Septemba, 2015

    mawazo yake ni mawazo ya kizee. EXPIRED THOUGHTS. hana la kuwasaidia waTZ.
  7. PETER FRANCIS

    Dr. Slaa silaha ya maangamizi kwa Lowassa

    mwacheni slaa astaafu kisiasa kwa amani. mbona mnaweka maneno kinywani mwake.? Akihitaji kuongea hadharani atajitokeza anene mwenyewe. Acheni udadisi na blah, blah zisizo za maana.
  8. PETER FRANCIS

    Wagombea ccm na ukawa hawani kipaji cha kuhotubia umati.

    swissme......... chukua kamusi uangalie maana ya neno retarded. hio ndio description ya watu kama wewe.
  9. PETER FRANCIS

    Wagombea ccm na ukawa hawani kipaji cha kuhotubia umati.

    Baada ya kuwaskiliza wagombea dr.jpm na el nagundua kuna kazi kubwa ya kufanya. japo mmoja kati yao anajitahidi zaidi, wote wanahitaji ku master the art of public speaking maana hio ni moja wapo ya sifa muhimu za kiongozi bora. Ushauri wangu ni wapate huduma za mafunzo na mazoezi ya public...
  10. PETER FRANCIS

    Yaliyojiri Mkutano wa Edward Lowassa na wanawake wa DSM kutoka Ukumbi wa Millenium Tower

    jamani. mr el needs a pr manager and speech writer and public speaking instructor. jamaa cant speak in public. not a good quality for national leader.
  11. PETER FRANCIS

    Wasanii kumuunga mkono Magufuli

    blah blah tupu.
  12. PETER FRANCIS

    Yaliyojiri Mkutano wa kumtambulisha Mgombea Urais kwa tiketi ya CHADEMA/UKAWA - Mwanza

    lowasa alikuwepo kweli? mbona hukuna hata picha moja yake akiwa mwanza.?
  13. PETER FRANCIS

    Yaliyojiri Mkutano wa kumtambulisha Mgombea Urais kwa tiketi ya CHADEMA/UKAWA - Mwanza

    mbona hakuna hata picha moja inayomuonyesha lowassa akiwa mwanza?
  14. PETER FRANCIS

    Yaliyojiri Mkutano wa kumtambulisha Mgombea Urais kwa tiketi ya CHADEMA/UKAWA - Mwanza

    drone ni ndege ndogo isiokua na rubani. inaendeshwa na remote control. hii leo inatumika kupiga picha kutoka angani.
Back
Top Bottom