Wanaosema ni vinyonga ambao hubadili rangi sehemu tofauti,so kuwa makini kwa sababu wengi 1.wakurupukaji 2.waropokaji pia,Ila hatuambiwa wanaowafanya watu kuitwa wanyongwe ni kina nani?
Kweli watanzania tunapotea kwa kukosa umoja na Uhuru.Hivi unajua nini kuhusu Haki ya mtanzania.Pia uwazi,haki,Uhuru na umoja unaanza kwa MTU MOJAMOJA.Kijana Fanya kufikiria njee ya boksi,hata wewe kunasehemu utakuja kukumbwa tuu,kumbuka Wanafiki na wachawi hawatofaidi chochote zaid ya jehanum.
Nashukuru kwa kuwa MTU makini sana mwenyewe kufanya upelelezi.kuna watu wanamadaraka sehemu Fulani Ila ni kama wapo sehemu isiyo sahihi kwao,kwani ni
1.WAKURUPUKAJI
2.WAROPOKAJI
3.WASIOJUA KUTOFAUTISHA HATA KIDOGO eg:-serikali na Taifa
Samahani sana ndugu unachokisema mwenyewe yaonyesha pia wewe umshabiki wa siasa upande Fulani,langu no kwamba ata hilo unalosema ni SIASA.najua hutonielewe Ila vumilia
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.