Afande kaweesi
Member
- Sep 11, 2018
- 51
- 60
Kwa akili hizi!! Bila shaka ukoo wenu ni maskini wa kutupwa na kulumangia.Mo amemalza chuo akarudi nyumbani kuendelezza mali za familia. Unamwitaje tajiri wa kweli?
Kwa akili hizi!! Bila shaka ukoo wenu ni maskini wa kutupwa na kulumangia.Mo amemalza chuo akarudi nyumbani kuendelezza mali za familia. Unamwitaje tajiri wa kweli?
Wapi nimelalamika bibie?
Hatujafikia ufukara wa kwenu.Kwa akili hizi!! Bila shaka ukoo wenu ni maskini wa kutupwa na kulumangia.
Cha msingi Fanya wewe kwanza wengne watasema kuhusu weweHabari Wadau..
Wote tumeguswa na msiba wa tajiri wetu mweusi Mr. Mengi aliyekuwa anaenda level zisizopishana sana na Watanzania weupe
Wasifu wake unaonesha hata yeye hakukanyaga chuo kikuu chetu ..
Na hapo hapo akapata akili ya kuwa tajiri na industrialist mkubwa sana...
Je, elimu yetu ipo sawa kweli?
Kwanini washika uchumi hawasomi elimu yetu
Hahahha mtenga umenichekesha wallahHili haswa ndilo jibu sahihi, wakufunzi wetu wenyewe wana stress mpaka kwenye ukucha unategemea atoe elimu ya kumfanya mwanafunzi awe millionaire??? Mfumo wa elimu yetu ni mbovu sanaaaa, sasa kama mimi mwenyewe nimesoma kwa taabu then nikapata GPA ya kunibakisha chuoni kama tutorial then najiendeleza hadi PhD nakua senior lecturer naachaje kulamba matako ya kina Makonda ili niendelee kuishi... Hata mie Mungu akiniwezesha hiki nachokifanya now kikazidi kukua hakika watoto wangu chuo hawatasoma bongo hapa
Hawezi kuwa India huyoWewe umesoma wapi? Au uko India unasoma ili uwe tajiri?
Umehitimisha kila kitu , uzi ufungwe.Maprofesa wa Tanzania ni hao kina Kabudi, Mkumbo, Mwakyembe, Dr. Bana n.k yaani hawa wanafiki na wachumia tumbo ndio wamfundishe mwanafunzi awe milionea wakati hata wao wanategemea kumsifia magufuli ili wapate kuendesha maisha yao...
Maprofesa wa Tanzania ni hao kina Kabudi, Mkumbo, Mwakyembe, Dr. Bana n.k yaani hawa wanafiki na wachumia tumbo ndio wamfundishe mwanafunzi awe milionea wakati hata wao wanategemea kumsifia magufuli ili wapate kuendesha maisha yao...
Tatizo sio kukanyaga chuo kikuu cha Tanzania ama la, Suala la mtu kuwa millionaire sio la kujadiliwa kwa point ya chuo. tunao watanzania wengi tu ambao hawajakanyaga vyuo vya Tanzania na sio mamilionaire, ingekuwa kusoma huko walikosoma kina Mengi na wengine ndio sababu pekee iliyowafanya wawe matajiri basi tungekuwa na matajiri weeengi sana maana hata kwenye vyuo vyetu mfano udsm wapo watu waliosoma vyuo nje tu, tunao wanasiasa kama January wamesoma nje tu lakini si mamilionaiteHabari Wadau..
Wote tumeguswa na msiba wa tajiri wetu mweusi Mr. Mengi aliyekuwa anaenda level zisizopishana sana na Watanzania weupe
Wasifu wake unaonesha hata yeye hakukanyaga chuo kikuu chetu ..
Na hapo hapo akapata akili ya kuwa tajiri na industrialist mkubwa sana...
Je, elimu yetu ipo sawa kweli?
Kwanini washika uchumi hawasomi elimu yetu
Wamsifia TLissu ambaye kafundishwa na Kabudi !?Maprofesa wa Tanzania ni hao kina Kabudi, Mkumbo, Mwakyembe, Dr. Bana n.k yaani hawa wanafiki na wachumia tumbo ndio wamfundishe mwanafunzi awe milionea wakati hata wao wanategemea kumsifia magufuli ili wapate kuendesha maisha yao...
Akina Lema, Mdee, Mnyika, na Sugu wao wanachumia mattako !?Maprofesa wa Tanzania ni hao kina Kabudi, Mkumbo, Mwakyembe, Dr. Bana n.k yaani hawa wanafiki na wachumia tumbo ndio wamfundishe mwanafunzi awe milionea wakati hata wao wanategemea kumsifia magufuli ili wapate kuendesha maisha yao...