Fanya yafuatayo,
Cha kwanza,husitengeneze urafiki mkubwa na mtu wa ofisini kwako ,madhara yake siku mkija kutofautiana mtatoleana siri.
Cha pili,weka mazoeana na wafanyakazi wenzako hasa kwenye masuala ya kazi zaidi,Kuwa bize na kazi zako,acha stories za kuzungumzia watu,boss au mambo negative...
Sheria ya utumishi wa umma kwenye masuala ya recatergolization lazima uanze na mshahara wa cheo kipya,hiyo jiandae kisaikolojia bro,sasa kama cheo kipya kina mshahara mkubwa itakuwa vzr,hapo ni kama mtu utakuwa umeajiriwa mwanzo tu
Uza kiwanja kimoja ongezea hela nunua nyumba iliyotayari kujenga utapata stress material yamepanda sana,unaweza save kama mil kumi na tano then fanya biashara
Nimeishi Kibaha na sasa nipo Mwanza, Mwanza ni mji mzuri sana kibihashara, Kibaha kaka hakuna ishu mzunguko mdogo wa kifedha. Mwanza ni sehemu nzuri kimaisha kila kitu utakipata kwa unafuu, kwa huku maeneo mazuri ya kuishi Ilemela ila kibiashara Nyamagana kupo poa sana. Over
Kuna watu wanafikiri kuwa na misifa kwenye mtandao ndio umaharufu huyo si ndio wanamsemaga anaishi kwao ,kulisha nguruwe laki 3 na kujenga nyumba kipi bora .haiingii akilini sio kweli hiyo story
Wazazi ndio kwanza waaribifu wa tabia kwa watoto lawama kwa walimu ,ukitaka kujua hili kumbuka kipindi cha korona wazazi walikaa na watoto nyumban wakawachoka "eti shule hawafungui tuu"nin maana yke,wanafunzi wanashinda mda mrefu na mwalimu hivyo kunatabia mwanafunzi anazoficha kwa mda mfupi kwa...
Pia swali lako hajikaa vzr,nani anayeandaa Combination Mpya au nani anayetekeleza ufundishwaji wa hizo,anayendaa Wizara anaye tekeleza Kwa ufundishwaji TAMISEM
Wizara ya Elimu inahusuka na sera pamoja na miongozo inaelekeza taasisi anzazisimamia kama TIE kwa ajili ya kuanadaa,kumbuka wizara ya elimu ina taasisi nyingi zilizo chini ambao zinafnya kazi kwa niaba yke baada ya kufanya kazi watekelezaji na wasimamizi wakubwa ni TAMISEM
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.