Recent content by PESA2

  1. PESA2

    Siku ya kwanza kutumia CONDOM

    kubwa kuliko
  2. PESA2

    kimeeleweka tarime

    Hahaha hueleweki kabisa.
  3. PESA2

    Mwezi mmoja tangu achaguliwe, Wana Ubungo wameshamchoka mbunge wao Saed Kubenea

    Tunapenda kupata hoja nzito na sio upuzi.
  4. PESA2

    Meya Jiji la Arusha ni Kalist Lazaro, Naibu Viola Likindikoki

    Hii ni kwasababu ya watawala,wakoloni wa kijani kutokukubali kupingwa.
  5. PESA2

    CCM yabaini mchezo mchafu Arusha mjini

    Huku ni lubuva aliyeiba kura za Lowassa
  6. PESA2

    Zitto Kabwe: Magufuli ameanza na hatua nzuri lakini adhibitiwe

    Huyu jamaa anaweza kupora hata mke wa mtu
  7. PESA2

    CHADEMA jibuni hizi shutuma tuwaelewe kama wanamabadiliko wa kweli

    Naona wachangiaji wengi pamoja na mtoa post hawajitambui. Kwani mwenye jukumu la kuthibitisha ufisadi huo ni serikali na mahakama. Serikali ilimwomba ajihudhuru naye akafanya hivyo baada ya hapo kilifuata ni uchunguzi ambao haukufanywa,baada ya hapo alitakiwa apelekwe mahakamani jambo ambalo...
  8. PESA2

    CCM wamekosea kutumia M4C kumnadi Magufuli

    CCM the end.
  9. PESA2

    Rais Kikwete amtaja mhusika wa Richmond

    Kweli hawa jamaa ni wajinga kwani LISU ni mwanasheria wa serikali hata wamtake amtaje? Jakaya ndiye haswaaa anayetakiwa kumtaja lakini inashangaza kuona miaka mingi sasa mmiliki wa richmond hafahamiki. Jakaya usitutie ujinga.
  10. PESA2

    Hotuba ya Dr. Slaa kwa Watanzania toka Hoteli ya Serena - Tarehe 1 Septemba, 2015

    Tumenyanyaswa vya kutosha,tumedhurumiwa vya kutosha na tumedanganywa vya kutosha. Ila kwa sasa inatosha
  11. PESA2

    Hotuba ya Dr. Slaa kwa Watanzania toka Hoteli ya Serena - Tarehe 1 Septemba, 2015

    Kweli ccm mmechoka kwani mnadhani hatukumjua LOWASSA? MPANGO WA MUNGU HAUPINGIKI.
  12. PESA2

    Hotuba ya Dr. Slaa kwa Watanzania toka Hoteli ya Serena - Tarehe 1 Septemba, 2015

    Kunya mavi mtoni siyo kuchafua maji yote. Ila kunya bwawani hapo ndo noma.
Back
Top Bottom