Usikate tamaa endelea kutafuta daktari mwenye uelewa na huo ugonjwa.Mimi nadhani huo utakuwa ni UGONJWA UNAOHUSIANA NA UFAHAMU PAMOJA NA UBONGO ukichangiwa na mazingira.Endelea kutafuta daktari anaejua matatizo ya mtoto wako,nina imani atapona kama akipatiwa matibabu sahihi wa huo ugonjwa...
Kuhusu academic performance google matokeo ya Bagamoyo Sekondari kwenye mtandao wa internet au tembelea tovuti ya necta.Umbali wa Bagamoyo Sekondari kutoka mjini kwa makadirio ni kama kilomita 3..sio mbali sana ukifika stendi ya Bagamoyo mjini panda pikipiki au bajaji ukiuulizia Bagamoyo...
Kwenye gazeti wameandika hizo kozi zinadhaminiwa na wizara ya nishati na madini.Habari ulizosoma kwenye tovuti zinaweza kuwa hazijajitosheleza lakini utakapopata fomu za kujiunga zitakueleza kozi husika zinadhaminiwa na serikali yani under "GORVERNMENT SPONSERSHIP"..Kila la heri!!!
Unaweza dhani unatatua tatizo kwa kumkomesha mkeo kumbe ndio unazidi kuharibu mahusiano katika ndoa yako.VUNJA UKIMYA kwa kutatua mgogoro kati ya mkeo na mama yako kisha msameheane.
Inawezekana kabisa akawa ameshika mimba kwasababu kitalaamu dalili huanza kuonekana kuanzia siku ya 10 hadi 14 baada ya tendo.Nakushauri ujiandae tu kukabiliana na hilo tatizo la kulea mtoto.
Mineral Resources Institute(MRI) ikisaidiwa na Wizara ya Nishati na Madini imetoa nafasi za masomo kwa wanaotaka kusoma kozi ngazi ya stashada yani Diploma in Petroleum Geosciences na Environmental Engineering and Management in Mines.
Fomu za maombi zinapatikana makao makuu ya wizara ya nishati...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.