Wadau,
Tunataka kuona ipi itakuwa ni event ambayo itabamba hapa jijini Dar siku ya j'mosi May30, kati ya Instagram Party vs Nyama Choma.
Kwa maneno mengine, Instagram Party ipo kwa kijana machachali Fredy na team yake Idris na Wema Sepetu.
Upande Mwingine, Nyama Choma ni bi Carlo Ndosi...