Kuna wimbo pia unasema;
Nimeshitushwa na sauti za ndege wakiuaga mchana, nikiwa katika dimbwi la simanzi,
nimeoa na kuacha zaidi ya wake sita, sijampata mie hata mtoto,
niliowaacha nikizani ni matasa, wameolewa,
na huko waliko, wamezaa.
Nimejaliwa elimu, iliyonipa heshima,
nina uwezo wa kununua...