Recent content by Pennsylvania

  1. P

    Upendo Peneza ataja sifa za mwanaume wa kumuoa

    We jamaa sishangai kwanini una tuhuma ya kuwa shoga Sasa unawapangia watu maamuzi yao? Si mlisema upinzani unachelewesha maendeleo? Acheni unafiki
  2. P

    Waraka wa Diwani mstaafu wa CHADEMA kwa Tundu Lissu

    Your mother is exceptional moron!
  3. P

    Ni ipi bora kati ya LLB ya UDOM na ya TUDARCo?

    Ngoja bhasi nishone vazi la suti
  4. P

    Ni ipi bora kati ya LLB ya UDOM na ya TUDARCo?

    Inamaana Udom inawalimu wachache kwenye tasnia ya sheria kuliko Tudarco? Na ukaribu wa Law school, unachangia materials, je materials za law school zinatumika na undergraduate?
  5. P

    Ni ipi bora kati ya LLB ya UDOM na ya TUDARCo?

    Ahsante Mkuu Malyenge Je, ni sababu gani niende UDOM na sio TUdarco?
  6. P

    Ni ipi bora kati ya LLB ya UDOM na ya TUDARCo?

    Ahsante mkuu!. Ni mtu wa nne hapa kunishauri UDOM, Ngoja nisikie na wengine.
Back
Top Bottom