ACT Wazalendo
JF-Expert Member
- May 5, 2014
- 602
- 1,526
Kwa uchungu mkubwa nawajulisha kuhusu msiba mkubwa tuliopata wa Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chama na Mwenyekiti wa Kamati ya Maadili Maalim Abubakar Khamis Bakar. Tangu walipompiga risasi chini ya miguu usiku wa tarehe 28/10/2020 hakuwa sawa mpaka mauti. Inna lillah waina ilaih raajiun
Kiongozi wa Chama
Zitto Kabwe
Kiongozi wa Chama
Zitto Kabwe