na hii mada imenigusa sana maana hata mm mtu wangu alikuwa ananishangaa lakini sasa hv amenielewa na ananipenda Zaidi ya akati tunaanzana, tena yeye mwanaume wala habet lakini sikuhz ye ndo wakwanza kunitumia fixtures
kubet na bet kaka tena nimeanza kitambo toka akati nasoma chuo mzumbe. Na ofcourse nishashindaga maranyingi pesa za kubet napenda mpira nashukuru mpira umenisaidia nisipende mambo yasiyofaa
alafu m iezi miwili mbona bado sana kaka embu endelea naye utaenjoy tu kampan yake sisi wanawake tunaopenda mpira ukituelewa hutafikiria wanawake wengine
ahahahahahaha tutawafuata huko huko maofisin ndo akili zikae sawa maana mnakwepa huduma sikuhz papuch mnataka lakin kuwasaidia wanawake shida ndogo ndogo mnakuwa wagumu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.