Recent content by pendo

  1. P

    Ratiba ya M4C OPD leo tarehe 1 Februari, 2014

    Nashukuru kwa harakati zenu za kuwatoa wananchi matongotongo kupitia M4C OPD. Mmezunguka karibu nchi nzima sasa kwa Nini? Kwenye jimbo na vitongoji vyote vya muheshimiwa Mwigulu Nchema sijaona kwenye ratiba zenu mkitaja au ndio kusema mnamgwaya?
  2. P

    Je CHADEMA hawana watetezi wa chama Mikoani mpaka akina MBOWE, SLAA na LISSU wanazunguka kwa CHOPA?

    Kaa kimya wewen mbona nape na kinana walipokua wanazunguka mikoan na hoja ya mawaziri mizigo kwa nini hawakuwatumia viongozi wao wa huko?
  3. P

    Kuanguka kwa CCM: Kutimilika kwa Unabii...

    Unaongea hivyo kwa kuwa mmezoea kuiba kura
  4. P

    Baraza jipya la Mawaziri kutangazwa hivi punde

    Kwa maono yako zito,cdm ndiye msomi sana sio?
  5. P

    Baraza jipya la Mawaziri kutangazwa hivi punde

    Umekosa ya kuandika
  6. P

    TANZIA Ukiwaona Ditopile afariki dunia

    taarifa ya msiba mizito tumeipokea ila tunaomba utupe picha ya marehemu Kalumuna kama ambavyo umetuwekea picha ya marehemu Dito itakuwa ni vyema kwani wengine hatumfahamu. natoa pole kwa wafiwa. Mwenyeezi Mungu awape subira inshaallah
Back
Top Bottom