Nashukuru kwa harakati zenu za kuwatoa wananchi matongotongo kupitia M4C OPD.
Mmezunguka karibu nchi nzima sasa kwa Nini? Kwenye jimbo na vitongoji vyote vya muheshimiwa Mwigulu Nchema sijaona kwenye ratiba zenu mkitaja au ndio kusema mnamgwaya?
taarifa ya msiba mizito tumeipokea ila tunaomba utupe picha ya marehemu Kalumuna kama ambavyo umetuwekea picha ya marehemu Dito itakuwa ni vyema kwani wengine hatumfahamu.
natoa pole kwa wafiwa. Mwenyeezi Mungu awape subira inshaallah
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.