Recent content by pembe

  1. P

    Tumtengeneze Mwigulu kuwa Rais bora ajae

    Kuna mfumo wa kupata wagombea urais hapa nchini. Wakishajulikana ndio kila mtu ampambe mgombea wake. Wa kwangu awe mtu mwenye uwezo wa kututoa katika hii hali ya umaskini, kwa kubadilisha mfumo wa elimu yetu uwe kama wa India au China. Ili ndani ya miaka kadhaa tuwe tunafanya mambo yetu...
  2. P

    Wakristo wenzangu, kwahiyo pamoja na kuwa na elimu zetu Bado tunaamini Nabii Yona alimezwa na nyangumi na akatapikwa akiwa Yu hai?

    Imani ni kitu kingine kabisa. Na ukilazimisha sana kama waliojenga mnara wa Babeli cha moto utakipata ikiwa ni pamoja na kuwa mwehu au kupoteza maisha kabisa. umesoma maandiko, yakubali au yakatae usonge mbele. Sasa Yona kumezwa na samaki, mazingira yenyewe unayajua; kwenye maji hakuna hewa wala...
  3. P

    Are You a CEO of a Company That Has Not Yet Started Operations Since was incorporated? Here are What You Need to Know.

    Tunashukuru kwa darasa zuri. Naomba kuuliza swali! Je kama nimelipwa interest inayotokana na kucheleweshwa malipo napashwa kulipa VAT au ni Corporate tax tu?
  4. P

    Hivi wanasayansi wetu wanafanya nini huku tunategemea dawa ya mbu wa malaria itoke Malaysia na China?

    Tatizo dira ya nchi hii hailengi mambo kama haya. Na wenzetu wanafurahia mbu wawepo watupe malaria tuugue, tufe wao wapate nafasi ya kuja kuishi Afrika. Hata uwe na PhD ngapi bila system kuamua hata kama umegundua kitu unaweza kuuawa ili mradi makampuni ya nje yaendelee kutuuzia dawa tena sio...
  5. P

    Video: Clouds FM wametembea na mjadala niliouanzisha humu jukwaani kuhusiana na Wachina. Wachina wamefikiwa!

    Tatizo Wabongo tumelala usingizi mzito. Tunalalamika ajira hakuna anakuja Mchina umbali wote huo anaweka genge lake anaishi! Tuamkeni jamani fursa zipo hatujitambui! Hata wazo la Waziri Mkuu tunalipuuza lakini lina ukweli ndani yake! Nashukuru kuna ambao wameshaanza kulitekeleza na wanaishi kwa...
  6. P

    Kwa mtazamo wa Kidini. Je, mwanamke anaweza kuwa Rais?

    Kuna jambo limejificha kwani hata mchakato wa kuteua mgombea wa chama fulani umekiukwa! Ke wanachakarika sawa lakini usaidizi kwa Me unabaki palepale la sivyo yanayotokea ulimwenguni kwa sasa yamesababishwa na Ke kutokufuata mipango ya Muumba wetu! Usagaji, ushoga nk vimejitokeza hadi kupigiwa...
  7. P

    PreGE2025 Gerson Msigwa: Uchaguzi hauwezi kukosekana kwa sababu ya kauli ya mtu mmoja

    Haingii akilini mgombea mmojawapo ndiye anateua Tume huru ya uchaguzi. Unategemea hiyo tume iache kumptitisha hata kama ameshindwa? Sheria inazidi kukaza kwamba akishatangazwa hakuna kwenda mahakamani. Tanzania tumesoma sana lakini hatujaelimika au hatujitambui.
  8. P

    PreGE2025 Kina Halima Mdee kufika uchaguzi mkuu 2025 wakiwa Bungeni ni Dharau kubwa kwa vyombo vya Sheria , nini kifanyike ?

    Aende mahakama ipi? Labda ya The Hague maana hata hii ya Afrika Mashariki wote wamoja. Na si ajabu hata hiyo sahihi iliyofojiwa haipo tena. Huu mchezo ni mbaya sana na mwenyekiti mpya anatakiwa akisafishe chama sawasawa ili wananchi turidhike tukipigie kura!
  9. P

    Wewe unaweza kurudisha kwa muhusika

    Hivi nikiweka picha yake humu nitakuwa nimefanya kosa? 750,000 sio hela ndogo jamani! Maana tayari tumefanikiwa kupata namba yake ya NIDA
  10. P

    Wewe unaweza kurudisha kwa muhusika

    Mimi nilituma laki saba na hamsini juzi kupitia Airtel money. Wakala akakosea namba zikaenda kwa mwenyekiti wa mtaa wa CCM huko Tabora. Ilikuwa saa sita na nusu. Saa kumi nampigia niliyemtumia pesa anasema hajaipata! Kwenda kwa wakala akacheki na mtu wa Tabora akakuta ameshaitoa hela yote. Na...
  11. P

    Tetesi: Kambi ya Lissu ikiongozwa na Lema na genge lake yajipanga kuvuruga uchaguzi wa CHADEMA ngazi ya taifa baada ya kugundua kushindwa vibaya

    Enyi vijana je tunaridhika na hii hali ya maisha kwa sasa? Kama ni ndio basi twende na Mwamba la sivyo basi kuna haja ya kuwa na kiongozi mbadala. Kusoma tumesoma lakini wengi wetu hatujitambui tunadhani malaika watashuka kutupigania haki zetu. Mungu kasema tafuta na pigania haki yako Nami...
  12. P

    Ukimsikiliza Mbowe utagundua kuwa sio mtu wa kuwekwa kwenye mizani moja na akina Lissu

    Tunachosema Mbowe anavutwa shati na CCM kwa vyovyote vile hawezi kupigania mabadiliko ya kweli kwa wananchi kwa sasa. Kama kiongozi mkuu wa chama tangu madudu haya ya uchaguzi yameanza 2019 sijaona uwezo wake wa kututoa katika mtanzuko huu! Akipita kwenye huu uchaguzi tujue uchaguzi mkuu wa...
  13. P

    Ndoa ina faida gani ?

    Ngoja uzeeke ndio utajua faida ya kuoa! Au uugue ugonjwa wa kutakiwa kubebwa kupelekwa chooni na kulishwa!!!
  14. P

    Ngurumo: 90% waliohudhuria huo mkutano wa Tundu Lissu alipokuwa akikinanga chama chake, walikuwa ni wana CCM waliovaa sare za CHADEMA bila yeye kujua

    Siasa za nchi hii ngumu sana. Wanaweza wakawa CDM lakini pandikizi!! Chama hakina intelijensia ya kujua wananchama halisi na pandikizi!
Back
Top Bottom