Recent content by pelanya

  1. P

    Ufoo Saro wa ITV ajeruhiwa kwa risasi, mamake auawa!

    Ni kawaida ya kina mama wa kichaga akiona mtoto anapay uwa lazima amtetee na kw nin ugomv huo uend kw mama mkwe?
  2. P

    Shule za jumuiya wazazi zaelekea kufa hasa

    Sio zote lomwe is the best
  3. P

    Kauli ya mulugo kwa waliokosa mkopo

    Kaul aliyotoa naibu wazir wa elimu juu ya wanafunz waliokosa mkopo inaonyesh ni kiasi gani viongozi wetu ni vichomi mulugo amesema kasungula kalikuwa kadogo ivyo kila mtu auze alichonacho kama mbuzi kuku ngombe nk ili agaramie masomo kiongozi kama huyu kwa kauli zake hafai duniani na hata...
  4. P

    Napinga uteuzi wa Prof. Sifuni Mchome kuwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Elimu

    wewe hamy-d hujui vyeo vya kupeana ni hatari hi serikal y udugunaizesheni
  5. P

    Kwa mlliowahi kusoma bila mkopo na kumaliza, mlikutana na changamoto zipi?

    Mim nlisoma dip 2yrs bila mkopo wala msaada wa wazaz nlichofanya nilipang off compus na kitanda ilkuwa godor langu la nlilomalzia bording advance nilikuwa naenda chuo asb jion naenda stand y bus nakatisha tiket kila tiket moja nilkuwa napata 3000 hvyo asbh tena sa 11 alfajir naamkia stana kw...
  6. P

    naomba msaada ktk hili kuhusu tcu

    nenda kwenye chuo unachotaka kuhamia waeleze wao wanajua cha kufanya inawezekana pia kuna wakat ukiwa na cash wanakusajil unapiga bøok
  7. P

    Heslb ni charity group ngo au ni idea za kifree mansonly

    Hakuna madhala but sera zao is too mansonic
  8. P

    Heslb ni charity group ngo au ni idea za kifree mansonly

    Leo ndo nimeamini kuwa free manson wapo na kazi zao zinaonekana mansonly wanaamin katika mwanamke mjane anaitwa kabala kulingana na kitabu kinaitwa the mansonly tegris na ndio maana wanaitana brothers yaani wao n ndugu yatima ndio maana misaada yao inaelekezwa kwa yatima na wajane nina mashaka...
  9. P

    Kwa hili heslb na mwaisobya mnastahili lawama

    kusoma private sio kigezo ch kukosa mkopo acording to mwöngoz ila ina determine ni kias gan cha tution fee wakpe but ukiangalia mwongozo wao unaweza usiombe mkopo wao otherwise uforge sana document
  10. P

    Kwa hili heslb na mwaisobya mnastahili lawama

    Nimesikitika sana kw idadi kubwa ya wanafunz wapya wa vyuo vikuu kukosa mikopo mwaka huu ni kweli kuwa isingekuwa rahisi watu wote kupata lakini kwa idadi ya waliokosa inatisha mwaka huu. Lawama zangu za kwanza nazielekeza kwa mwaisobya afisa habar wa heslb kwani weng wanalaumu kwa kutokujua...
  11. P

    Tatizo: HESLB account has been suspended

    Sio kwel wamekosa hawajalipia subscription kwa web hoster wao
  12. P

    Tatizo: HESLB account has been suspended

    hamna lolote wanadaiwa na waliohost hyo website wao
  13. P

    Tatizo: HESLB account has been suspended

    Bodi mmekosa na mabilion yote hayo mmekosa pesa ya kulipia website mpaka akaunt inasuspendiwa
  14. P

    Kozi ambazo ajira zake ni ngumu kupata

    sio kweli ina soko sana hasa kwenye ngos nying wanawachukua sana na mashirika mengneo y nje yanayofanya kaz hapa böngo kama world vision isf snv amref nk na juz tu walitangaza nafasi shida watu mnataka kazi dar tu hata utendaji wa kata ukpata unazama anzia chni kisha panda juu
  15. P

    Fahamu kazi za town ambazo kama umemaliza chuo unaweza ukajishikiza bila aibu hapa dar

    Sawa kabisa ni rahsi kutafuta kaz ukiwa na kaz lakikn n vgumu kupata kaz ukiwa huna kaz hizo ulizozitaja kaka sio za kujishkiza ndo kaz zinawaweka wtu mjini wanajenga na wanasomesha watoto au ndugu zao shida zetu sis tukigraduate tunataka na kaz wazaz wakutafutie ukfanya hizo wanakudharau...
Back
Top Bottom