Baba yangu kazidi jamani, mimi nikiwa kama mtoto wa mwisho katika familia nina umri 32 baba kaoa kabinti ka miaka 19, mzee kiumri no mzee kwelikweli.
Tatizo linakuja huyu binti hana adabu hata kidogo anajiona yeye ndo kila kitu hadi anamdharau mama yetu na kumtolea maneno ya kejeli yaani hapo...
Awali nilioa mwanamke niliyempenda na tukapendana, tuliishi maisha ya kawaida na yenye furaha sana mimi, mke wangu na watoto wangu wawili.
Bahati mbaya Mungu alimpenda zaidi alipata ajali ya gari akiwa kwenye safari zake za ujenzi wa Taifa (Mungu aiweke roho yake mahala pema peponi). Basi baada...
1/ Awe na elimu angalau Advance level
2/ Umri usiozidi 25
3/ Awe white mwenye mvuto na anayejikubali
4/ /Awe na umbo la kawaida asiwe mnene wala mwembamba
6/ Awe na nidhamu na heshima kwa kila mtu.
Mengine tutarekebishana, nipo nje ya Nchi.
Ukiwa na vigezo ni pm
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.