Recent content by peace.peace14

  1. P

    Dr. Mwakyembe afunguka kuhusu Richmond na dhamira yake kugombea Ubunge tena - Oktoba 23, 2015

    Tumemmpuza sana. Yaani CCM wanaongelea swala la Richmond ndio wanazidisha Hadija yangu. Waongo wakubwa. Miaka yote wake kimya Leo ndio wanaibuka. Kingine sisikii lolote mpaka waje na waongelee EPA, Escrow, radar na Twiga. Hawana legitimacy ya kuongelea Richmond na kuacha mengine.
  2. P

    Nikiwa kwenye foleni ya kupiga kura nitakumbuka yafuatayo

    Uongo nilodanganywa miaka yote kwamba Maisha Bora Kwa kila Mtanzania
  3. P

    Hivi Magufuli ameshawahi kugusia suala la "ESCROW"

    Escrow ni noma. Hawawezi iongelea wanatufanya majuha
  4. P

    Swali: Humphrey Pole pole unamtumikia nani?

    Hata aletwe malaika kumchafua Lowasa tutamchagua tuuu. Nguvu Kubwa inayotumika na CCM haitashinda.
  5. P

    GE2015 Lowassa: Viwanda bila elimu ni sawa na kazi bure

    Hayo mafunuo siyo ya kawaida. Jamari Lowasa chaguo la Mungu.
  6. P

    Watanzania Waliofariki Hijja Wafikia 8

    Huyu shetani ameleta Shida sana. Hivi wakuu nisaidieni pale ndio makao ya shetani?
  7. P

    Ni sahihi kwa kiongozi wa mbio za mwenge kupigia CCM Kampeni?

    Hao Wote ni Makada wamelipwa na ccm
  8. P

    Utafiti wa TADIP Urais 2015 wampa ushindi Lowassa kwa 54.5% dhidi ya Magufuli (40%)

    Hutu ndio uhalisia wa hali ilivyo kwenye field. CCM mtajiuuwa mwaka huu
Back
Top Bottom