Recent content by Peace Alice

  1. Peace Alice

    HUDUMA YA KUPRINT T.SHIRT, KOFIA, VIGAE, VIKOMBE

    Habar zenu all members, nawakaribisha nyote nafanya biashara ya kuprint t.shirt, vikombe, kofia napatikana mwanza mtaa wa rufiji karibu na soko la milongo naomba support yenu. Mteja kwangu ni mfalme. Kwa mawasiliano 0718567756 0759752214
  2. Peace Alice

    BIASHARA YA KARANGA

    Kg 2200
  3. Peace Alice

    Niulize chochote kuhusiana na biashara, masoko na mauzo

    Habar mkuu!! Mimi natafuta soko la karanga, nipo dodoma
  4. Peace Alice

    BIASHARA YA KARANGA

    Nafanya biashara ya karanga, napatikana dodoma mzigo ninao wa kutosha bei maelewano.Ukihitaj tuwasiliane 0718567756
  5. Peace Alice

    Natafuta soko la Asali Mbichi Dar es salaam, ipo nyingi

    Kwa wale wanaohitaji maharage ya njano nina mzigo wa kutosha, nitafute 0718567756, 0759752214
  6. Peace Alice

    Unajipaka mafuta gani mwilini?

    Natengeneza lotion kulingana na ngoz yako ina tatizo gan.
Back
Top Bottom