Recent content by PDT

  1. P

    JamiiForums Tanzania Waraka wa Marehemu Chacha Wangwe na Hatma ya Siasa za CHADEMA

    Ipelekeeni maabara ikaipime imeingia mimba akili ndogo haiwezi shinda akili kubwa
  2. P

    JamiiForums Tanzania Maalim Seif adhaminiwa kugombea tena urais Zanzibar

    Nadhani tufike mwisho amegombea Zaidi ya mara nne ameshindwa awape wengine tuone yeye tuu mpaka anaingia kaburini!
  3. P

    JamiiForums Tanzania Hivi kwanini CHADEMA wanaharibu vipaji vya vijana?

    Anzisha chako uviendeleze vipaji hivyo
  4. P

    JamiiForums Tanzania Mwongozo: Kwa wanaohitaji kadi za uanachama ACT-Tanzania

    Inatuhusu nini sisi
  5. P

    JamiiForums Tanzania Diamond Platnumz: Mdee ni Mzigo Jimbo la Kawe

    Fani yake kuvua nguo stejini nadhani hayo ndio anajua kuna baadhi ya majimbo ukifika balaa jumbo la ALLY KESSY nkasi kaskazini kalambo Urambo na mengineyo balaa tupu Nadhani tumpuuze kwanza mwenyewe Gamba la CCM asiye mjua nani hata ndege wanamjua!
  6. P

    JamiiForums Tanzania Nimefanya Maamuzi Sahihi na Makini Niliyoahidi Takribani Saa 72 zilizopita, Naelekea ....

    Wakati wa vijana umefika xio vijana taifa kesho wakati wa kumng'oa mkoloni mweusi umefika !
  7. P

    JamiiForums Tanzania Wabunge wa UKAWA mkoa wa Kigoma

    Hana jipya kabixa asipo angalia hata yeye atakosa siasa za kigoma hazitabiriki tena ana wachafua hivyo balaa amuulize kaka yake kaburu kigoma mjini wakimfanyaje;
  8. P

    JamiiForums Tanzania Kazi za Kiongozi Mkuu wa ACT-Tanzania

    Janja ya nyani chama ni chake alikuwa anazuga na xaxa kwaibu kapewa cheo hicho anaonyesha alivyo dikteta wa madaraka
  9. P

    JamiiForums Tanzania Ama kweli tajiri ni vigumu kuingia katika ufalme wa Mungu!

    Hiyo ni over time unaweza kuwa naye au usipate lazima ijue,
  10. P

    JamiiForums Tanzania Ama kweli tajiri ni vigumu kuingia katika ufalme wa Mungu!

    Slip zipo ila tatizo zina majina yao !
  11. P

    JamiiForums Tanzania Ama kweli tajiri ni vigumu kuingia katika ufalme wa Mungu!

    Chanzo hasa kilikuwa mpira kati ya azam na waarabu wa sudani azam kila alipo kuwa anafungwa wafanyakazi wake wengi walikuwa wana shangilia mno ndipo tulipo uliza kwanini hivyo wanashangilia mno ndipo tulipo ambiwa ukweli halisi asilimia tisini ya wafanyakazi wake hawaipendi timu hiyo kwa maslahi...
  12. P

    JamiiForums Tanzania Ama kweli tajiri ni vigumu kuingia katika ufalme wa Mungu!

    Cargo kama ww unafikiri tunaweta siasa hapa sio kweli naona ww unajua utani! Hatuongei utani bhana!
  13. P

    JamiiForums Tanzania Ama kweli tajiri ni vigumu kuingia katika ufalme wa Mungu!

    Sijalih baadhi kuna overtime kwa mfano azam maji baadhi wanapata walio ajiliwa tuu vibarua hawapati tena hawana likizo wala nini SAA moja ya over time wanalipwa baadhi mia tisa hamsini na wengine 1200 na night allowance mtu ana Massa mia anapewa 5600 kwa mwezi tumeona slip salary zao amini na...
  14. P

    JamiiForums Tanzania Ama kweli tajiri ni vigumu kuingia katika ufalme wa Mungu!

    Mimi xio kwamba namuonea huyu mzee eti kwa kufungua studio mpya na yakisasa wala tumefanya uchunguzi makini kabisa anaye bisha aje tumpe tunao kuna wafanyakazi wameanza mwaka 2000 wakati huo kitengo cha maji anakianzisha hakuna mashine hata moja wakati huo ana kiwanda kimoja kipawa! Wamefanya...
  15. P

    JamiiForums Tanzania Ama kweli tajiri ni vigumu kuingia katika ufalme wa Mungu!

    Sasa ndugu ww hujatoa jumapili kwani sio siku ya kazi ww unazidisha siku zote halafu kibarua sio zote anaweza fanya kazi kwani kuna siku kazi inakuwa hakuna mashine mbovu na kadharika lazima ujue hivyo!
Back
Top Bottom