Utakuwa unaharakisha unabii wa Kipanya, ule wa makaburi mawili, na mchimbani yupo hemani aamekalia mgongo, pembeni yake kukiwa na sufuri ya supu inatokota
Elimu bora ina athiriwa na ushindani wa mitihani. Wanafunzi wanataka wafaulu ilibwa songe mbele, Mwalimu anataka aonekane amefaulisha, anapaswa kumaliza mada zote kwa wakati. Shule zinataka jina kwa kukuza ufaulu na mnyororo unaendelea.
Ni mkanganyiko wa kufamtu: sera ya elimu itungwe na wizara...
Najibu Kama Mwl wa Kemia na Bailojia
'Ethene‘ ndo huivisha matunda na imo kwenye mmea kama kichocheo 'phytohormone' ambayo kazi yake ni kuivisha tunda.
'Ethene' ama ‘ethylene’ ni kemikali ogania kundi la hidrokaboni familia ya 'alkini'. Inapatika katika uasili na inaweza kutengenezwa na...
•Katika Hospitali moja kubwa ya Rufaa mkoa ‘X’ tulipeleka mgonjwa. Daktari ’alichora'mkeka wa vipimo unaofika 480K (vipimo tu), na mpaka hapo 100k ilikuwa imetembea.
• Katika Hospitali ’X’. Dawa kadhaa zilipendekezwa, (huruhusiwi kulala na mgonjwa maeneo yale). Kesho yake, drop la dawa...
Sio kwamba wewe ndo unaamini hivyo?
Mwaka 2010 wakati wa kampeni za uchaguzi , katika kipindi maarufu mwaka huo, ‘Mchakato Jimboni' kiti kama hicho, nilimsikia Lema kwa mara ya kwanza.
Alikuwa anawasilisha kwa staili hii hii “Mimi mbunge wenu...." Akiamini tayari ameshakuwa ilihali bado ni mgombea!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.